Rais wa Burkina Faso Capt Ibrahimu Traore anatarajiwa kuja Tanzania January, 2025. Je, atatingisha jukwaa kama alivyofanya nchini Ghana?

Huku kapteni Traore ni muumini wa JPM

Picha maktaba : Captain Traore akigonga salaamu.

Toka maktaba:​

Hili ndio baraza la mawaziri la Magufuli​

Sandu GeorgeDecember 10, 2015 - 2:38 pm
1 minute read

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli leo ametangaza baraza jipya la mawaziri katika serikali ya awamu ya tano.

Rais Magufuli amesema kuwa baadhi ya wizara hazitakuwa na manaibu waziri, Lengo likiwa ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama.
Hili ndio Baraza la Magufuli:

1. Ofisi ya Rais, Tamisemi Utumishi na Utawala Bora – Mawaziri: George Simbachawene, Angela Kairuki, Naibu: Selemani Jafo

2. Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira – Waziri: January Makamba, Naibu Waziri:Luhanga Mpina

3. Ofisi ya Waziri mkuu , Sera , Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu – Waziri:Jestina Muhagama, Manaibu: Dr Abdallah Possi, Anthony Mavunde
4.Kilimo, Mifugo na Uvuvi – Waziri: Mwigulu Nchemba, Naibu: William Nasha

5. Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano – Waziri: Bado hajapatikana, Naibu: Injin. Edwin Ngonyani

6. Fedha na Mipango: Waziri: Bado hajapatikana, Naibu: Ashantu Kizachi

7. Nishati na Madini – Waziri: Sospeter Muhongo, Naibu: Medalled Karemaligo

8. Katiba na Sheria – Waziri: Harrison Mwakyembe

9. Mambo ya nje, Afrika Mashariki – Waziri: Augustine Mahiga, Naibu: Suzan Kolimba

10. Ulinzi na jeshi la kujenga taifa – Waziri: Hussein Mwinyi

11. Mambo ya ndani – Waziri: Charles Kitwangwa

12. Ardhi nyumba na makazi – Waziri: William Lukuvi, Naibu: Angelina Mabula

13. Maliasili na Utalii – Waziri: Bado hajapatikana, Naibu:Ramol Makani

14. Viwanda na uwekezaji – Waziri : Charles Mwijage

15. Elimu, sayansi, Teknolojia na Ufundi – Waziri: Bado hajapatikana, Naibu:Inj. Stella Manyanya

16. Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto – Waziri: Ummy Mwalimu, Naibu:Hamis Kigwangala

17. Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo – Waziri: Nape Nnauye, Naibu: Anastasia Wambura

18. Maji na umwagiliaji: Waziri: Prof. Makame Mbarawa, Naibu: Isack Kamwela
 
Tunataka viongozi wakubwa wenye mamlaka wa Marekani, Canada, Ulaya, Brazil, Korea Kusini, Indonesia, Vietnam Singapore na Israel ndio waje Tanzania. Tunahitaji teknolojia zaidi kuliko kupiga story na majirani tunaofanana.
 
Hapa kwetu hawezi kufanya hayo mambo, niliwahi kushuhudia Kagame na vijana wake walikuja na mbwembwe kama hizo Ikulu ya mwanza wakambiwa hii ni Nch! ya amani huo utaratibu wa kuonyesha siraha kwenye msafara wa vingozi sisi hatuutaki na waka tii sheria
 
Tunataka viongozi wakubwa wenye mamlaka wa Marekani, Canada, Ulaya, Brazil, Korea Kusini, Indonesia, Vietnam Singapore na Israel ndio waje Tanzania. Tunahitaji teknolojia zaidi kuliko kupiga story na majirani tunaofanana.
Kwani hawajakuja au unajisahaulisha?
 
Huyo dogo ana kipi jipya tofauti na harakati za kizamani za resource nationalism kama akina Mugabe ambazo hazina tija, Rasilimali kama huwezi kuzitumia ni bure hata kama ukizikumbatia
Kinachofanyika DRC kwa rasilimali zao ni sahihi au siyo sahihi?
 
Tofautisha uchaguzi wa golden standards na zile chaguzi za kihuni ulizozizoea
Replica ya Magu hiyo.

Safari hii mabeberu tunawapelekea moto mpaka msalimu amri.
 
Tunataka viongozi wakubwa wenye mamlaka wa Marekani, Canada, Ulaya, Brazil, Korea Kusini, Indonesia, Vietnam Singapore na Israel ndio waje Tanzania. Tunahitaji teknolojia zaidi kuliko kupiga story na majirani tunaofanana.
Nje ya mada ila ni kwa ajili ya tafakuri:
Uliona viongozi wa nchi ambazo Trump aliwaalika kwenye sherehe za uapisho wake? Wakubwa na traditional US allies wote hakuwaalika!!
 
Nje ya mada ila ni kwa ajili ya tafakuri:
Uliona viongozi wa nchi ambazo Trump aliwaalika kwenye sherehe za uapisho wake? Wakubwa na traditional US allies wote hakuwaalika!!
Kwanza ni vizuri ufahamu pia Trump ndio rais wa kwanza wa Marekani kualika viongozi wa nchi za nje katika uapisho wa Rais kwa mara ya kwanza katika historia ya Marekani. Sio utamaduni kwa marais wa Marekani kualika viongozi wa nje wakati wa uapisho.
 
Kinachofanyika na nani??
Sentence yangu haina 'kiwakilishi' bali 'kielezi' kwamba "kinachofanyika"

All in all M23 wanachokifanya hapo DRC ni sahihi?
 
What's so special about this young man..Hana jipya huyu jamaa
 
eti duniani, nani anamjua? Siada za Africa —- strong man!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…