Rais wa Burkinafaso hatoshiriki tena mikutano ya mataifa makubwa isiyo na maslahi Kwa nchi yake

Rais wa Burkinafaso hatoshiriki tena mikutano ya mataifa makubwa isiyo na maslahi Kwa nchi yake

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Captain. Traore kafunguka akiwa anaongea na mawaziri wake,

Alisema hivi. Unadhani kwako unapokaa kuna jirani atakuja kukujengea? Kamwe hayupo, Hakuna bepari atakayekuletea maendeleo bila wewe mwenyewe kupambana maana hata bepari nae hupambania watu wake kupitia wewe,

Lazima tulinde na kutumia rasilimali zetu vizuri na kuzilinda Kwa nguvu zote maana iko siku unaweza kujikuta umeingia mikataba mibovu na hauna tena rasilimali, unabaki kua mtumwa wa mikopo tu milele, Mbele ya safari mtaelewa Kwa nini watu wazima huitwa kama wanafunzi Kwa makundi, Pale kazi kubwa ni kutangaziwa makampuni yao, mabenki yao, ili muweze kujikaanga vizuri hakuna manufaa mengine,

Tuoombee burkinabe na amani iwe Kwa waburkinabe wote,
 
Sasa hizo export atamuuzia nani? Ili apate fedha kuweza kununua hiyo mitambo au mapipa ya lami kujenga barabara he is mad bybthe way serikali haiongozi na maono ya mtu m1. Awaulize venezuela sema tu Burkina faso hakuna cha ajabu
 
Sasa hizo export atamuuzia nani? Ili apate fedha kuweza kununua hiyo mitambo au mapipa ya lami kujenga barabara he is mad bybthe way serikali haiongozi na maono ya mtu m1. Awaulize venezuela sema tu Burkina faso hakuna cha ajabu
Kwahio unadhani atashindwa kuuza nje Mali anazozalisha, kisa hajahudhuria vikao?
 
Back
Top Bottom