Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Yupo zake china saa hizi anakula zake chura.Kijana anapambana, chama cha kijani hapo JMK wanamsonya tu huyo dogo wanaona anaaibisha bibi yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo zake china saa hizi anakula zake chura.Kijana anapambana, chama cha kijani hapo JMK wanamsonya tu huyo dogo wanaona anaaibisha bibi yao.
Inawezekana nchi za watu ngozi nyeupe na sio hizi zetu mkuuAll in all ukipewa msaada ukautumia vema unaweza "ukatoka".
Huyu ni Mwamba wa Afrika.Captain. Traore kafunguka akiwa anaongea na mawaziri wake,
Alisema hivi. Unadhani kwako unapokaa kuna jirani atakuja kukujengea? Kamwe hayupo, Hakuna bepari atakayekuletea maendeleo bila wewe mwenyewe kupambana maana hata bepari nae hupambania watu wake kupitia wewe,
Lazima tulinde na kutumia rasilimali zetu vizuri na kuzilinda Kwa nguvu zote maana iko siku unaweza kujikuta umeingia mikataba mibovu na hauna tena rasilimali, unabaki kua mtumwa wa mikopo tu milele, Mbele ya safari mtaelewa Kwa nini watu wazima huitwa kama wanafunzi Kwa makundi, Pale kazi kubwa ni kutangaziwa makampuni yao, mabenki yao, ili muweze kujikaanga vizuri hakuna manufaa mengine,
Tuoombee burkinabe na amani iwe Kwa waburkinabe wote,
Ila Putin akimwita chap tu anaruka kwakeCaptain. Traore kafunguka akiwa anaongea na mawaziri wake,
Alisema hivi. Unadhani kwako unapokaa kuna jirani atakuja kukujengea? Kamwe hayupo, Hakuna bepari atakayekuletea maendeleo bila wewe mwenyewe kupambana maana hata bepari nae hupambania watu wake kupitia wewe,
Lazima tulinde na kutumia rasilimali zetu vizuri na kuzilinda Kwa nguvu zote maana iko siku unaweza kujikuta umeingia mikataba mibovu na hauna tena rasilimali, unabaki kua mtumwa wa mikopo tu milele, Mbele ya safari mtaelewa Kwa nini watu wazima huitwa kama wanafunzi Kwa makundi, Pale kazi kubwa ni kutangaziwa makampuni yao, mabenki yao, ili muweze kujikaanga vizuri hakuna manufaa mengine,
Tuoombee burkinabe na amani iwe Kwa waburkinabe wote,
Alimpa drone nyingi za kutandika magaidi popote wslipo, alimsaidia mafunzo jeshi na vikosi maalumu, upatikanaji wa mbolea ya uhakika ya bei nafuu kutokea urusi ataachaje kwendaIla Putin akimwita chap tu anaruka kwake
Ohooooo, kwa hiyo,wateja wa raslimali hizo,unahizi wanauza mpunga?Atamuuzia nani wateja wanatftwa sio wateja wakutafte
Hajaua yeye. Ni hao ndugu zetu katika Imani ndo wakulaumiwa.Huyo kibaraka wa Putin hana jipya ameshindwa kuwapa ulinzi raia wake, Juzi tu magaidi alqaeda yameua watu zaidi ya 200
Ni ujasiri wa kuigwa. Uzalendo unaotakiwa kwa viongozi wote wa Afrika.Captain. Traore kafunguka akiwa anaongea na mawaziri wake,
Alisema hivi. Unadhani kwako unapokaa kuna jirani atakuja kukujengea? Kamwe hayupo, Hakuna bepari atakayekuletea maendeleo bila wewe mwenyewe kupambana maana hata bepari nae hupambania watu wake kupitia wewe,
Lazima tulinde na kutumia rasilimali zetu vizuri na kuzilinda Kwa nguvu zote maana iko siku unaweza kujikuta umeingia mikataba mibovu na hauna tena rasilimali, unabaki kua mtumwa wa mikopo tu milele, Mbele ya safari mtaelewa Kwa nini watu wazima huitwa kama wanafunzi Kwa makundi, Pale kazi kubwa ni kutangaziwa makampuni yao, mabenki yao, ili muweze kujikaanga vizuri hakuna manufaa mengine,
Tuoombee burkinabe na amani iwe Kwa waburkinabe wote,
Hao mabepari wakigomea kununua dhahabu zake atazipekeka wapi? Inabidi awe very smart in his gameWanadhahabu nyingi kuliko unavodhani
Alifanya mapinduzi ya kijeshi ya nini sasa kama ameshindwa kudhibiti magaidi?!Hajaua yeye. Ni hao ndugu zetu katika Imani ndo wakulaumiwa.
Nyie huku mnakufa maelfu Kwa maelfu Kwa kukosa huduma za afya. Nyie ndo wajinga zaidi
Unajua we jamaa huwa unaongea kiwepesi sana.Alifanya mapinduzi ya kijeshi ya nini sasa kama ameshindwa kudhibiti magaidi?!
Nimeona kule jf una comment nyingi jf kumbe ndio hizi and kuna member ame like
Umeshaambiwa huna akili kaa kimya mbwa weweAtamuuzia nani wateja wanatftwa sio wateja wakutafte
Kuna watu wanamuita huyo jamaa kuwa ni Deng Xiaoping wa Africa basi mi nacheka sana bila hata kuchangia chochote kwenye mjadalaSasa hizo export atamuuzia nani? Ili apate fedha kuweza kununua hiyo mitambo au mapipa ya lami kujenga barabara he is mad bybthe way serikali haiongozi na maono ya mtu m1. Awaulize venezuela sema tu Burkina faso hakuna cha ajabu