Rais wa Burkinafaso hatoshiriki tena mikutano ya mataifa makubwa isiyo na maslahi Kwa nchi yake

Rais wa Burkinafaso hatoshiriki tena mikutano ya mataifa makubwa isiyo na maslahi Kwa nchi yake

Mungu anaipenda Africa. Katupa Magufuli mwingine kabla hatujamsahau chuma mwenyewe.

Mungu ibariki Africa.
Magu alikuwa mnafiki, alikuwa akiwasema vibaya mabeberu, wakati huo huo anaenda kuwakopa kimyakimya tena kwenye mabenki ya kibiashara yenye mariba makubwaaa. Mwafrika ni hopeless!
 
Kuna wakati mwalimu alishindana na IMF, ila baadae alinyoosha mikono. Huyo raisi ni maoni yake ila atanyoosha tu mkono.
Kipindi cha baba wa taifa hakukuwa na Option nyingine,ila sasa hivi kuna option nyingi sana.
Yapo mataifa kibao yameidindia UN na WB na maisha yanasonga.
 
Kawaida ya dictators hiyo ni wazuri wa kuaminisha ubaya wa wengine bila ya wao kumake moves za hayo mazuri yaliyo mawazoni mwao.
 
Captain. Traore kafunguka akiwa anaongea na mawaziri wake,

Alisema hivi. Unadhani kwako unapokaa kuna jirani atakuja kukujengea? Kamwe hayupo, Hakuna bepari atakayekuletea maendeleo bila wewe mwenyewe kupambana maana hata bepari nae hupambania watu wake kupitia wewe,

Lazima tulinde na kutumia rasilimali zetu vizuri na kuzilinda Kwa nguvu zote maana iko siku unaweza kujikuta umeingia mikataba mibovu na hauna tena rasilimali, unabaki kua mtumwa wa mikopo tu milele, Mbele ya safari mtaelewa Kwa nini watu wazima huitwa kama wanafunzi Kwa makundi, Pale kazi kubwa ni kutangaziwa makampuni yao, mabenki yao, ili muweze kujikaanga vizuri hakuna manufaa mengine,

Tuoombee burkinabe na amani iwe Kwa waburkinabe wote,
Masikini mjeuri tu huyo
 
Back
Top Bottom