Rais wa Burkinafaso hatoshiriki tena mikutano ya mataifa makubwa isiyo na maslahi Kwa nchi yake

Kumbe unajua kudhibiti magaidi si kazi rahisi, sasa mbona kila mara mnasema Israel ameshindwa vita Gaza, anaua wanawake na watoto tu.
 
Sasa hizo export atamuuzia nani? Ili apate fedha kuweza kununua hiyo mitambo au mapipa ya lami kujenga barabara he is mad bybthe way serikali haiongozi na maono ya mtu m1. Awaulize venezuela sema tu Burkina faso hakuna cha ajabu
Haka kajamaa ni kasanii fulani. Halafu kanaendekeza sana uchawi.
 
Kumbe unajua kudhibiti magaidi si kazi rahisi, sasa mbona kila mara mnasema Israel ameshindwa vita Gaza, anaua wanawake na watoto tu.
Tunakujua unaropoka ila punguza kuropoka kupitiliza.
Video kibao zimewasilishwa ICJ IDF wakilipua makazi ya raia kimakusudi.
Na wengi wanaokufa wazee,wanawake na watoto.
Unadhani hatujui kama huko Gaza Israel vita za battle street zinawashinda!??
Au hao askari wa IDF walemavu takriban elfu sabini wamepatikanika wakiwa wamelala!??
Kila leo huko Gaza IDF wanavunjwa miguu na risasi.
Tuondolee uropokaji hapa.
 
Kuna watu wanamuita huyo jamaa kuwa ni Deng Xiaoping wa Africa basi mi nacheka sana bila hata kuchangia chochote kwenye mjadala
Akikwama utasikia anakaa ku negotiate na hao hao mabeberu mie najiuliza mabeberu ni europeans na american ila russianna Wachina ni marafiki eeh
 
Kuna wakati mwalimu alishindana na IMF, ila baadae alinyoosha mikono. Huyo raisi ni maoni yake ila atanyoosha tu mkono.
 
Huyu wetu ye anaamini nchi itaendelea kupitia mikopo na misaada!.
 
Africa iwapate wengi wa aina yake.
Muulize nani alifanya hivyo akatoboa? Ngoja aje atoke madarakani ndipo mtajua udokozi wake....mtaanza hooo viongozi wa Afrika tumelaaniwa.
 
U didn’t mention the fact that magaidi hamas wanatumia raia kama human shield, wanatumia miundo mbinu ya kiraia kufanya mashambulizi ya kijeshi na pia Gaza ni density populated area.

Sidhani kama kuna jeshi lolote duniani linaweza kufanya combat operation kwenye mazingira magumu kama ya Gaza without high casualties among civilians.
 
Sasa hizo export atamuuzia nani? Ili apate fedha kuweza kununua hiyo mitambo au mapipa ya lami kujenga barabara he is mad bybthe way serikali haiongozi na maono ya mtu m1. Awaulize venezuela sema tu Burkina faso hakuna cha ajabu
Kwani China wanavyoexport kwetu ni kwa sababu tuliwahi wakusanya Waasia?
 
Jamaa ana maono mazuri tatizo yamekuja wakati usiyo sahihi.

Dunia ya sasa kila kitu tunategemeana yule unayemchukia ndiyo huyo huyo kesho unamuhitaji cha msingi onyesha unamuhitaji hadharani ukijifungia kwako mchukie.
Huu ndiyo wakati sahihi, kipindi ambacho dunia inaelekea kuwa multipolar.
 
Huyu Capt ana fikra kama zangu 💯
 
Siyo kila mtu amezaliwa ku haso
Kauli hii ina maana kwamba
Afrika hatuna sababu ya kugundua chochote kwa sababu tuna ukwasi wa kutosha kununua teknolojia yoyote watakaokuja nayo
Afrika tuna mali ambazo ata tukiachiwa hazitatusaidia kwa lolote
 
Sasa hizo export atamuuzia nani? Ili apate fedha kuweza kununua hiyo mitambo au mapipa ya lami kujenga barabara he is mad bybthe way serikali haiongozi na maono ya mtu m1. Awaulize venezuela sema tu Burkina faso hakuna cha ajabu
Hujui kitu wewe, wazungu wanaihitaji africa kuliko wao tunavowahitaji, and once africa ikijikomboa na ikawa nchi moja basi wazungu watageuka ombaomba kwetu.walifanikiwa kutugawa, hilo ndo linalowapa nguvu mbafu zao
 
Hujui kitu wewe, wazungu wanaihitaji africa kuliko wao tunavowahitaji, and once africa ikijikomboa na ikawa nchi moja basi wazungu watageuka ombaomba kwetu.walifanikiwa kutugawa, hilo ndo linalowapa nguvu mbafu zao
Kwann linashindikana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…