kotelyimola
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 1,459
- 1,506
Mwenzao Dr. Mariposa amewakimbia na sasa analea baada ya kuokoka na kuonja utamu wa ile kituTuwachome moto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzao Dr. Mariposa amewakimbia na sasa analea baada ya kuokoka na kuonja utamu wa ile kituTuwachome moto
Binafsi napendekeza mtu wa kwanza kukutwa na hatia baada ya hii kauli, apelekwe kwa Ndayishimye yeye ndio awe wa kwanza kumrushia mawe..Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amesema wapenzi wa jinsi moja nchini Burundi "wanapaswa kupigwa mawe" na kwamba hiyo haitakuwa uhalifu.
Rais alisema hayo katika mkutano wa moja kwa moja na waandishi wa habari siku ya Ijumaa, akijibu swali la mwandishi wa habari. Alisema kuwa nchi zenye nguvu "zinapaswa kusalia" na misaada yao kwa Burundi ikiwa misaada hiyo inaambatana na wajibu wa kutoa haki kwa wapenzi wa jinsi moja.
Alitumia maandiko ya biblia kusema kwamba Mungu anachukia mapenzi ya jinsi na kusema kwamba suala hilo halina mjadala nchini Burundi.
"Kwangu mimi, nadhani ikiwa tutapata watu hawa nchini Burundi wanapaswa kupelekwa kwenye viwanja vya michezo na kupigwa mawe, na kufanya hivyo haitakuwa kosa," rais alisema.
Bw Ndayishimiye alisema uhusiano wa jinsia moja ni kama "kuchagua kati ya Shetani na Mungu".
"Ikiwa unataka kumchagua Shetani sasa nenda ukaishi katika nchi hizo, na nadhani wale wanaojitahidi kwenda huko wanataka kuiga tabia hizo, wanapaswa kubaki huko na kamwe wasituletee," rais aliongeza.
Mapenzi ya jinsi moja ni kinyume cha sheria nchini Burundi na adhabu yake ni kifungo cha hadi miaka miwili jela.
Mwezi Agosti mwaka huu, watu saba walihukumiwa vifungo vya kati ya mwaka mmoja na miwili baada ya mahakama katika mji mkuu wa kisiasa Gitega kuwapata na hatia ya kushisriki mapenzi ya aina hiyo, walikanusha mashtaka.
Katika kanda ya Afrika mashariki mwezi Mei, Uganda ilitekeleza sheria za kupinga mapenzi ya jinsia moja ambazo ni pamoja na hukumu ya kifo kwa kosa la "kushiriki mapenzi ya jinsi moja".
Makundi ya kutetea haki za binadamu yamekuwa yakipinga sheria hizo mahakamani.
Utajiri wa kufanyia nini we bwege. Acha ushoga we jingalaoKwa utajiri upi walionao hadi wafanye hivyo
Huna hata haya kuwa shoga we punguani? Ona hata aibu we uliyelaaniwa.Huyu Rais uchwara wa matopeni mwenye mapele kidevuni hana intellectual capacity ya kuzungumzia jambo lolote achilia mbali ushoga.
Ndio maana nchi yake ni NCHI KAPUKU NAMBARI MOJA ulimwenguni. Anaongoza nchi ya maiti waliojifia kwa umasikini na ujinga. Hapo anawazuga tu ili kupoteza wakati.
Angekuwa kwenye nchi timamu angenyofolewa hapo kitini kisha atumbuliwe majipu kidevuni kwa kosa la kuchochea uhalifu na ghasia katika jamii.
Shoga weweNimepaniki sana, natamani nifike hapo Burundi nimtandike makofi huyo NdayeSHIME.
Kukaa kimya pia ni hekima, hujifunzi tu kwa majirani walivyofungiwa vioo kimisaada toka taasisi za fedha duniani na Mabeberu?Natamani msimamo kama huu utolewe na Serikali yetu!
Mods unganisha huu Uzi hapa Burundi: Rais Evariste Ndamishiye asema mashoga wapigwe mawe hadharaniRais wa Burundi Evariste Ndayishimiye amesema wapenzi wa jinsi moja nchini Burundi "wanapaswa kupigwa mawe" na kwamba hiyo haitakuwa uhalifu.
Rais alisema hayo katika mkutano wa moja kwa moja na waandishi wa habari siku ya Ijumaa, akijibu swali la mwandishi wa habari. Alisema kuwa nchi zenye nguvu "zinapaswa kusalia" na misaada yao kwa Burundi ikiwa misaada hiyo inaambatana na wajibu wa kutoa haki kwa wapenzi wa jinsi moja.
Alitumia maandiko ya biblia kusema kwamba Mungu anachukia mapenzi ya jinsi na kusema kwamba suala hilo halina mjadala nchini Burundi.
"Kwangu mimi, nadhani ikiwa tutapata watu hawa nchini Burundi wanapaswa kupelekwa kwenye viwanja vya michezo na kupigwa mawe, na kufanya hivyo haitakuwa kosa," rais alisema.
Bw Ndayishimiye alisema uhusiano wa jinsia moja ni kama "kuchagua kati ya Shetani na Mungu".
"Ikiwa unataka kumchagua Shetani sasa nenda ukaishi katika nchi hizo, na nadhani wale wanaojitahidi kwenda huko wanataka kuiga tabia hizo, wanapaswa kubaki huko na kamwe wasituletee," rais aliongeza.
Mapenzi ya jinsi moja ni kinyume cha sheria nchini Burundi na adhabu yake ni kifungo cha hadi miaka miwili jela.
Mwezi Agosti mwaka huu, watu saba walihukumiwa vifungo vya kati ya mwaka mmoja na miwili baada ya mahakama katika mji mkuu wa kisiasa Gitega kuwapata na hatia ya kushisriki mapenzi ya aina hiyo, walikanusha mashtaka.
Katika kanda ya Afrika mashariki mwezi Mei, Uganda ilitekeleza sheria za kupinga mapenzi ya jinsia moja ambazo ni pamoja na hukumu ya kifo kwa kosa la "kushiriki mapenzi ya jinsi moja".
Makundi ya kutetea haki za binadamu yamekuwa yakipinga sheria hizo mahakamani.
[emoji115] Majibu yako sasa, inabidi anayekujia kichwa kichwa ajitafakari kwanza maana daaah [emoji16]Jicho tamu, hata wewe ntakutafuna.
Huyu NdayeSHIME na majipu yake kidevuni akae kwa kutulia.
Aibu ya nini wakati kinyeo kitamu!Huna hata haya kuwa shoga we punguani? Ona hata aibu we uliyelaaniwa.
Ndio sheria inawakumbusha mawe mpaka!Wasio amini kwa Mungu kosa lao liko wapi!? Au ni lazima wote mfanane imani!?
Hiyo Sio Sheria. Hiyo ni kauli ya Ndayishimye. Sheria ni ile iliyoko kwenye katiba yao.Ndio sheria inawakumbusha mawe mpaka!
Ubwabwaja blaablaah tuuu.Utajiri wa kufanyia nini we bwege. Acha ushoga we jingalao
We jamaa mnafiki Sana, unashabikia Israel walioruhusu mapenzi ya jinsia moja lakin kwa Tz unasema wachomwe motoTuwachome moto
We jamaa mnafiki Sana, unashabikia Israel walioruhusu mapenzi ya jinsia moja lakin kwa Tz unasema wachomwe moto
IpiNatamani msimamo kama huu utolewe na Serikali yetu!