Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

Am not sure kama hili tamko is real la chama cha madaktari pasipo siasa humu ndani!!
 
Huu ni UFINYU wa akili na UPUMBAVU na ndiyo tatizo kubwa la Watanzania wengi.

Sawasawa.Haya wameongezeka na hadi Sasa wagonjwa wamefika milion Saba na Vifo milion nne na wewe ukiwemo Kati ya waliokufa na Covid.Unasemaje hapo?
 
Sasa vijana wameanza kuamka na kulipenda taifa lao

Rais wa chama cha madaktari, MAT ametoa kauli kuunga mkono utafiti uliofanywa na viongozi wa kisiasa kwamba korona imepungua kama sio kuisha kabisa nchini

Kauli hii no ya kizalendo na imelenga maslahi mapana ya nchi hii kiuchumi,kijamii,kisiasa,na hata kiafya

Natoa shime kwa viongozi wa vyama vingine vya kitaaluma, iwe vya kiuchumi,kisheria,sosholojia, na kila taaluma sasa ionyeshe uzalendo na kuipenda nchi. Tuunge mkono tafiti za kiafya zilizofanywa na viongozi wetu wa kisiasa

Kidumu chama cha mapinduzi

#matege
 
Kwani mtu akimsifu Magufuli lazima ateuliwe !kaaaa hii kali so mimi ninayemsifu anifahamu au watanzania 55m wanaomsifu wote wapate cheo au tuchape kazi tujenge nchi yetu
 
Dr Osati....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa vijana wameanza kuamka na kulipenda taifa lao

Rais wa chama cha madaktari, MAT ametoa kauli kuunga mkono utafiti uliofanywa na viongozi wa kisiasa kwamba korona imepungua kama sio kuisha kabisa nchini.
Maendeleo hayana chama

Luckman1
 
Tuunge mkono tafiti za kiafya zilizofanywa na viongozi wetu wa kisiasa

Kidumu chama cha mapinduzi

#matege
Ina maana tafiti za kiafya hufanywa na wanasiasa?

...🙄🙄🙄...?
 
Anastahili pongezi kwakweli,Hawa ndo vijana wasomi,watakaolivusha hili taifa,kufikia nchi ya ahadi,
 
Sio kila kitu kupinga pinga tu - wewe ulitakaje? Ulitaka madaktari wahitishe press conference wazungumzie masuala ya maabukizi ya virus Nchini wakiwa na lengo la ku pre empty kauli ya Serikali ambayo ndio mwajili wao - nchi haendeshwi kihuni kama mnavyo taka. Labda ni kuhoji swali dogo kama unafikiri maambukizi ya corona ni mengi sana nchini, ebu twambie umekwisha shuhudia misiba mingapi ya Corona katika mitaa unayo ishi, tuanzie hapo kabla hatuja jadiri horror stories zenu.
Unataka ushuhuda gani zaidi we tomaso
 
Mkuu, ulitaka waongee kile wewe unataka kusikia? Wao ndio wako field, wewe huku mtaani unatumia vigezo gani kuita walichosema ujinga?
Wao hawako field Kaka wanasiasa ndio wako field ndio maana watalaamu wananata na beat la wanasiasa badala ya wanasiasa kusubiri wataalamu waseme
 
Kinachoshangaza madreva 30 tuu wakipimwa mipakani wanakuta wanao 5 au chini ya hao lkn huku unaambiwa hakuna aliyeongezeka sasa sijui huo ugonjwa unapenda sana madreva au uko mpakani zaidi kuliko katkati ya miji lkn hataivo hao madreva siwanatokea katkati ya miji??.
Just pathetic....
 
Haya tumekusikia basi kalale upunguze stress! Pole.
Sawa.......ungekua kua wataalam wetu ndio wenye stress usingeonea kihuni hivyo......wote wametulia zwa pale wizarani wamebaki walamba lolo tu
 
Wakitoa takwimu wataalamu wa afya hamtaki, akisema Rais wa nchi hamtaki, akisema Waziri wa afya hamtaki, akisema Mbowe mnakubali, akisema Balozi wa Marekani mnakubali. Hivi nani kawaroga?
Ni babu yako,tena alikuwa ghafula kwelikweli
 
Back
Top Bottom