Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thibitisha uhakika wa chanzo Cha habari ikwa ule mpira wa wananchi walivyowacchezea ilikuwa ni aibu kwa club Africain imewekeza sana usijali mkubw halafu unateswa vileeeee.. hata mimi ningejiuzuru
Kibu Denis prosper[emoji23][emoji23][emoji23]Najaribu kuwaza, wenzetu wanautamaduni mzuri Sana! Anyway R.IP ndugu zetu wote mliokutana na kifo pale ziwani.
Basi waambieni club zote za soka za ligi kuu TZ wajiuzuru sababu wote walichezea kichapo toka kwa Yanga msimu uliopita.Kwakweli ni aibu, hata kama ingekuwa ni Mimi ningejiuzulu kufungwa na Yanga.
Mmeipeperusha vyema bendera ya TanzaniaNa bado, mbona watajiuzuru wengi....😁💚💛✌️
Ile mechi ya kwanza walinikera sana yaani mpaka ilikua too much yaan unawekezaje mahela mengi alafu unacheza ujinga vileWalikariri eeeeh,we timu gani inaenda kwenye mechi dakika 30 za mechi wanajiangusha bila sababu,Kwa Mkapa tulicheza dakika 75-80 zingine zote ni Kulala tu......hata kama wanasifiwa wamewekeza vizuri ila wanambinu za kijinga sana
Kama kawaida yetu 😁😁Mmeipeperusha vyema bendera ya Tanzania
Mara ya mwisho 2018 makundiKama kawaida yetu 😁😁