Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Bodi ya simba haijiuzulu pamoja na vipigo na draw za mfululizo wanavyopokea kutoka kwa YangaKwakweli ni aibu, hata kama ingekuwa ni Mimi ningejiuzulu kufungwa na Yanga.
Kuna timu huku Tanzania ilishajizoelea kufungwa na Yanga. yaani ushindi wao ni sareNi aibu sana, kwenye mechi muhimu kama hiyo unafungwa na timu ya Yanga.
Bahati mbaya Mimi sio mkurugenzi wa Simba. Ila ningefungwa mara mbili mfululizo hapa bongo ningejiuzuluMbona Bodi ya simba haijiuzulu pamoja na vipigo na draw za mfululizo wanavyopokea kutoka kwa Yanga
Ni aibu sana kufungwa na Yanga mechi ya kimataifa. Ikitokea Simba akifungwa na Yanga mechi muhimu ya kimataifa hakuna kiongozi atakae baki.Mbona Bodi ya simba haijiuzulu pamoja na vipigo na draw za mfululizo wanavyopokea kutoka kwa Yanga
Mechi za Ngao ni kawaida hizo. Ila ikitokea mechi ya kimataifa simba ikifungwa na yanga hata Mo anaondoka maana ni aibu kubwa sana.Kuna timu huku Tanzania ilishajizoelea kufungwa na Yanga. yaani ushindi wao ni sare
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Ukiwaza vizuri utapata majibu. Club Africa wangetolewa na timu km mamelod, esperense, Simba, tp mazembe wala wasingejiuzulu coz ni timu kubwa, ila wamejiuzulu kutokana na timu waliyofungwa nayo.Basi waambieni club zote za soka za ligi kuu TZ wajiuzuru sababu wote walichezea kichapo toka kwa Yanga msimu uliopita.
Simba wamechezea kichapo mara nyingi zaidi.
Timu kubwa kwa umbumbumbu/kelele/malalamiko/ushirikina wa kuwasha moto uwanjani tu ila hakuna kombe lolote la Wanaume/Klabu bingwa ya Africa au hata la shirikisho analocheza Yanga hivi sasa.Ukiwaza vizuri utapata majibu. Club Africa wangetolewa na timu km mamelod, esperense, Simba, tp mazembe wala wasingejiuzulu coz ni timu kubwa, ila wamejiuzulu kutokana na timu waliyofungwa nayo.
🤣🤣🤣🤣Timu kubwa kwa umbumbumbu/kelele/malalamiko/ushirikina wa kuwasha moto uwanjani tu ila hakuna kombe lolote la Wanaume/Klabu bingwa ya Africa au hata la shirikisho analocheza Yanga hivi sasa.View attachment 2412736
Yaani wanaamini kuwa Yanga ni timu ya hadhi ya chini sana mpaka waone aibu kufungwa na Yanga?HATAREE SANAA
RAIS WA CLUB AFRIQUE AMEJIUZULU NA BODI NZIMA KWA KUSHINDWA KUELEKEA SHIRIKISHOOO.....BAADA YA KUFUNGWA NA WANANCHI AKA YANGA
Kutoa droo kwenu ni ushindi mkubwa sana siku hizi refer mechi ya Singida big stars vs SimbaMbona Bodi ya simba haijiuzulu pamoja na vipigo na draw za mfululizo wanavyopokea kutoka kwa Yanga
Au GSM alitoa bahasha?😆😆😆😆Lile goli laini sana...wangemfukuza kipa tu
Sentensi yako umesema mechi muhimu. Je ngao ya jamii haina umuhimu? Vipi kuhusu kombe la Azam na la ligi kuu nalo Simba hawana umuhimu nalo pia?Mechi za Ngao ni kawaida hizo. Ila ikitokea mechi ya kimataifa simba ikifungwa na yanga hata Mo anaondoka maana ni aibu kubwa sana.
Kumbe wee mwananchi...aiseeNa bado, mbona watajiuzuru wengi....😁💚💛✌️