Rais wa Ethiopia awasili Chato mkoani Geita. Rais Magufuli aahaidi kuwaachia wahamiaji haramu 1789 kutoka Ethiopia bila masharti

Alipohamishia serikali Dodoma mlipinga, Anafanyia kazi ikulu ya chato mnapinga, Asipofanya kazi mnasema kajificha corona.... Akianza kufanyia kazi mkoa gani kwenu itakua sawa?

Mamlaka ya rais iheshimiwe tuu
Chato kuna ikulu? Nijuavyo ikulu ndogo ni makao makuu ya mikoa sasa labda tuambiwe makao makuu ya Geita ni chato
 
Rais Magufuli amempokea mgeni wake na baada ya kushuhudia burudani mbalimbali viongozi hawa wawili wanaondoka kuelekea Ikulu kwa mazungumzo.
Wanaelekea Ikulu ipi..? Chato kuna Ikulu?. Akili zenu MaCCM ndio mmeshakabizi kwa Mfalme JUHA.
Kila anacho fanya nyie ni kupamba tu, hata kikiwa ni uwenda wezimu mnasema mitano tena..
 
Wanaelekea Ikulu ipi..? Chato kuna Ikulu?. Akili zenu MaCCM ndio mmeshakabizi kwa Mfalme JUHA.
Kila anacho fanya nyie ni kupamba tu, hata kikiwa ni uwenda wezimu mnasema mitano tena..
Sasa kuna nini?
 
samahani hiyo ikulu ni majengo ya serikali au makazi yake binafsi yamegeuzwa kuwa ikulu bwashee?
 
Ni jambo jema,kumbe uwanja wa ndege Chato unaumuhimu kwa taifa letu.
 
Kumbe na chato imejegwa ikuru ndogo, kama vile ya Mabutu etii ?
 
Unaogopa mabadiriko wewe...maisha hayapo constant ki hivyo
 
Huu ugeni mzito namna hii mbona mimi sijaalikwa? Ndiyo nausikia leo kwenye media
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…