falagha ya marais wawiliKwani First lady wetu atakuwa wapi muda huo π
Itakuwa amekuja kuwakomboa wale wahamiaji haramu waliokamatwa wakiwa wamasafirishwa kwenda South AfricaInafikirisha sana!
Rais wa Ethiopia yupo hapa nchini kwa ziara ya siku moja yenye lengo la mazungumzo ya faragha na Rais Magufuli wa Tanzania.
Ujio wa Rais wa Ethiopia hapa nchini si hoja bali hoja ni kwa sababu gani amewasili kwa nia ya mazungumzo ya faragha?
Kuna nani Ethiopia kinachoendelea hadi ipelekee kuhitaji mazungumzo ya faragha ya wadau hao wawili Tanzania na Ethiopia?
Ninarudia tena....kwa sababu ya utashi wenu..... ndio maana mmeamua hivyo. Enzi zetu hatukufanya hivyo, tuliheshimu katiba, leo wewe upo mstari wa mbele kutetea chochote kinachofanyika kinyume na katiba. Sijui mmekuwaje vijana wa siku hiziMambo ya Butiama ni historia bwashee.
Wakati Njombe ikiwa ni wilaya ya mkoa wa Iringa ilikuwa na Ikulu ndogo.
Kwahiyo tembea ujifunze, Chato ina sifa zote za kuwa na Ikulu kamili achilia mbali Ikulu ndogo kama ilivyo sasa!
Tumewazoea hawa pinga pinga! Habari yao kwishney!Alipohamishia serikali Dodoma mlipinga, Anafanyia kazi ikulu ya chato mnapinga, Asipofanya kazi mnasema kajificha corona.... Akianza kufanyia kazi mkoa gani kwenu itakua sawa?
Mamlaka ya rais iheshimiwe tuu
Hapa unafurahisha sana.... Kwani Dunia nzima haijui Lissu alikoswa koswa kifo before? Dunia haijui Saa Nane na Katibu wa CHADEMA Hananasif naye walikutwa na mauti kwa style ya Lissu?Lissu alikimbilia ubalozi alifkiri itakuwa jambo kubwa kwa nchi lakini hakukua na tija yoyote, yule lema naye canada hakuna anayezungumza hili sasa, ili uende ukimbizini lazima ionekane nchi angalau kuna vita japo imetokea kwa siku 1 au 2 hivi sasa hayo madai ya ukimbizi atampa nani., kule zanzibar wakimbizi walitokea ile miaka ya uongozi wa Mkapa lakini kulikuwa na kila sababu watu waliuliwa weng kwa risasi dunia ilielewa, inafahamika ulimwenguni January 27 Zanzibar kulitokea nini.
Ndio!Najua hizo ikulu ndogo zilikuwepo wakati wa Nyerere .... Anyway, kwa hiyo Mkoa wa Geita Ikulu ndogo iko Chato siyo.................!!?
Unadai Makamu mwenyekiti kuwa ceremonious ni lack of strong institution!! Ilihali Maalim naye ni ceremonious SUK?? ama unakiri SUK nayo haina strong institution?Well.., yawezekana Zitto hakutarajia kilichotokea maalim kujiunga lakini ilikuwa Zitto hajafanya mashauriano na maalim na ACT Zanzibar kuona kile walichokiona wao, lakini mbona imekuwa so easy by then, ameunga mkono mikono yote miwili na alitinga Ikulu maalim alipoapishwa, ukiwa mwanasiasa hutakiwi kuwa inferrior unatakiwa kuwa mbunifu kufikia malengo yako kutokana na wakati ulionao,
Sio kweli mkuu, chato ni makazi binafsi come 2025 ikulu itakayotumika ipo Geita mjini huko sio kijiji cha Chato.Ndio!
Mamlaka ya raisi iheshimiwe lakini uhuru wake ni kama umepitiliza. Katiba irekebishwe kwa kweli.Alipohamishia serikali Dodoma mlipinga, Anafanyia kazi ikulu ya chato mnapinga, Asipofanya kazi mnasema kajificha corona.... Akianza kufanyia kazi mkoa gani kwenu itakua sawa?
Mamlaka ya rais iheshimiwe tuu
Mwenye umilele ni Mungu tu.Akiondoka kwenda wapi?
Muulize maalim Seif anaijua Ikulu ndogo ya Chato!Sio kweli mkuu, chato ni makazi binafsi come 2025 ikulu itakayotumika ipo Geita mjini huko sio kijiji cha Chato.
Chadema ndio wanawaita wabunge wao Covid 19, huu ni udhalilishaji!..mimi naomba Raisi wa Ethiopia asije akatolewa kauli za KUDHALILISHA.
..najua mtu fulani mara kwa mara ametoa kauli zisizo na heshima kwa WANAWAKE WEUPE.
Chadema ndio wanawaita wabunge wao Covid 19, huu ni udhalilishaji!
Yule houseboy wa Balozi wa UjerumaniLisu yupi?
Sisemi kitu Mimi.Akiondoka kwenda wapi?