Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hiyo ikulu si ingehamishiwa Chato tu?!!!. Everything is Chato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Saaa kama ujenzi unaendelea hujakakamilika alihakua Dodoma kwa nini?Hata hamuwezi kufikiri. Dodoma ikulu bado ujenzi unaendelea huenda amepisha ujenzi halafu Chato sio mahali pa kawaida kwa sasa ni nyumbani kwa rais wa jamhuri na ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kama mtu roho inauma gombea urais ukipata utaona kama mtu atakukataza kwenda kwenu hasa kama mama yako ni mgonjwa.
Kama ikulu haijakamilika kujengwa aluhamia huko kwa nn?Chamwino is under construction jiongeze.
Hana ni kama makamu wa raisi huku kwetuRais wa Ethiopia ana nguvu kuliko Waziri mkuu wake kweli?
Corona construction?Chamwino is under construction jiongeze.
Hana ni kama makamu wa raisiRais wa Ethiopia ana nguvu kuliko Waziri mkuu wake kweli?
Hata hamuwezi kufikiri. Dodoma ikulu bado ujenzi unaendelea huenda amepisha ujenzi halafu Chato sio mahali pa kawaida kwa sasa ni nyumbani kwa rais wa jamhuri na ni sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Kama mtu roho inauma gombea urais ukipata utaona kama mtu atakukataza kwenda kwenu hasa kama mama yako ni mgonjwa.
Chato ni sehemu ya Tz pia.Huko huko Chato tena?
Kwa hili kiukweli linashangaza,,mwaka jana mwishoni nilienda uhamiaji mkoa mmoja hivi kushughulikia passport,,niliumia sana kuwakuta vijana karibia 30 ethiopian na wadogo kbs wengine wamerundikwa pale..na mara nyingi wanakamatwa...Yaani bongo tunalalamika maisha magumu na changamoto za sasa but real life kea wenzetu ni tatizo sana
Gbadolite chipukiziIyonee huruma Chato the future Gbadolite
Sure umequalify kua zaidi ya kitovu ni tovuIngekuwa ni mwili ningesema Dar ni makalio, Dodoma ni kiuno na chato ni kitovu!
Nazani mmenilewa ndugu zanguuu!
Vyote hivi vinatumika kila kitu kwa mda wake!
Huwezi kuhamisha makilio yawe kitovuni utakuwa kichaa!!
Kuna wakati wa kuwa kitovuni na wakati wa kuwa makalioni au kiunoni
Chato is a favourite childHiyo ikulu si ingehamishiwa Chato tu?!!!. Everything is Chato.
Kabisaaa. Mkuu hapa panaitwa watakuja tuu huyu ndo magu bhana ......watnzania tunampenda ufipa kaeni kushotroooooo[emoji41][emoji41][emoji41]Njaa itakumaliza wewe karumekenge