Rais wa Ethiopia kutembelea Tanzania kwa ziara ya siku moja

Rais wa Ethiopia kutembelea Tanzania kwa ziara ya siku moja

Mwewe gani wewe? Sasa hivi mmesahau hata mambo yote ya icc, mmekomaa kupigia debe corona...
Wapuuzi kawaida wanajitambulisha kwa maneno na matendo yao siku zote, sijathibitisha kundi lako bado.
 
Chato AHaaaaa
Watanzania kila kitu kwetu poa tuuuu
Kufagia Jumamosi Poa mzee
Ikulu chato Poa mzeee
Hakuna kufanya mikutano ya siasa sawa mzee
si si ni poa tuuu
Mitano tena Poa mzee
Hata akitaka awe raisi wa asiwe na kikomo Powa mzeeee
aninikujitaabisha na Nguvu za Serikali?
Wamenunua magari yao ya washa washa na mikarandinga ya kusafisha bara bara , sasa yanaozeana pale central, Changombe Hapa hatoko mtu kuandamana mzeeee Ng'o
Tawaleni mpakamuchoke .
 
Rais anaweza kufanya kazi popote kwenye Jamhuri hii
 
Haya gonoka mtoto mzuri nikulipie marejesho ya saccos mchuchu.
Mchuchu ni "wazazi " wako na wewe Mwenyewe umechekua "tabia zao" baada ya mimi kuwaunga kwenye hiyo saccos unayoshabikia , sasa tabia imekunogea unadhani watu wote ni hivyo
 
Wilaya au Mkoa unajipaisha wenyewe kiumaarufu!! siyo huu wakulazimisha umaarufu bado miwili patakuwa km Badolite! hii sasa kulazimishana!!!
 
Back
Top Bottom