RAIS WA EU: Ulaya itashuhudia kipindi kigumu sana hivi karibuni

RAIS WA EU: Ulaya itashuhudia kipindi kigumu sana hivi karibuni

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Rais wa Halmashauli ya umoja wa Ulaya Ursula Von der Leyen ametahadharisha juu ya kipindi kigumu kiuchumi, nishati na mgogoro mkubwa wa kibenki kitarajiwacho Ulaya na Ulimwenguni kwa ujumla baada ya Urusi kuitumia nishati yake ya gesi na mafuta kama silaha ya kulipiza kisasi kwa umoja huo.

"...lazima tuwe wakweli, Ulaya inaenda kushuhudia kipindi kigumu sana kwa familia zetu kwa sababu ya vita ya Ukraine na Urusi. Tunawaomba wanachama wetu wa EU tusigawanyike kwa sababu hiyo bali ni lazima tuonyeshe umoja wetu kwa kuungana hata wakati huu tunapotarajia ugumu wa maisha hapa Ulaya."



DW.
 
Rais wa Halmashauli ya umoja wa Ulaya Ursula Von der Leyen amesema ametahadharisha juu ya kipindi kigumu kiuchumi, nishati na mgogoro mkubwa wa kibenki kitarajiwacho Ulaya na Ulimwenguni kwa ujumla baada ya Urusi kuitumia nishati yake ya gesi na mafuta kama silaha ya kulipiza kisasi kwa umoja huo.

"...lazima tuwe wakweli, Ulaya inaenda kushuhudia kipindi kigumu sana kwa familia zetu kwa sababu ya vita ya Ukraine na Urusi. Tunawaomba wanachama wetu wa EU tusigawanyike kwa sababu hiyo bali ni lazima tuonyeshe umoja wetu kwa kuungana hata wakati huu tunapotarajia ugumu wa maisha hapa Ulaya."



DW.
Uzuri wao mambo yakiwa magumu hukiri njoo mandonga mrusi always atasema mambo mazuri sana. Yaani Mandonda urusi na nduguye korea njaa waongo kama PM wa danganyika kusema rais mzimaaaa anapiga kazi kumbe mtu ashakata moto kitamboo.
 
... ni kipindi cha mpito tu; ni kawaida sana kwa mambo hayo. By he way, kwao hiyo ni opportunity ya kupata solution kuachana na gesi ya Urusi for good na solution itapatikana soon very soon. Mungu akunyime vyote ila akupe akili. Wenzetu hawa wamebarikiwa akili nyingi.
 
... ni kipindi cha mpito tu; ni kawaida sana kwa mambo hayo. By he way, kwao hiyo ni opportunity ya kupata solution kuachana na gesi ya Urusi for good na solution itapatikana soon very soon. Mungu akunyime vyote ila akupe akili. Wenzetu hawa wamebarikiwa akili nyingi.
Mkuu uko sahihi sana kosa vyote ila sio akili na maarifa. By the way russia yupo hoi ameishiwa semiconductors kwa ajili ya matumizi kwenye military hardware kwa sasa anachomoa za kwenye mafriji, mashine za kufulia nguo🤣 ili azitumie kwenye matumizi ya vifaa vya kijeshi, biashara zaidi ya 1000 zimefungwa russia.
 
Kwani wakati wanaanzisha vita Ukraine waliwaza nini. Msimu wa baridi unakuja Mrusi kakata gesi wataisoma
 
Back
Top Bottom