Rais wa Guinea, Alpha Conde apinduliwa na Jeshi

Rais wa Guinea, Alpha Conde apinduliwa na Jeshi

Mataifa karibu yote ya Afrika Magharibi yameshatawaliwa kijeshi katika kipindi fulani ukianzia: Benin, Burkina Faso, Gambia, Ghana, Guinea, Guinea Bissau, Ivory Coast, Liberia, Mali, Mauritania, Niger, Nigeria, Sierra Leone na Togo kasoro Senegal pekee ndio haijawahi kutawaliwa na jeshi.

Kwa hiyo hii inatuonyesha jinsi watawala wa huko wanavyopaswa kuwa makini na namna wanavyoongoza watu wao lazima waheshimu utawala wa kidemokrasia kwa kufahamu kwamba wakileta ujinga majeshi ya huko hayakufundishwa siasa kama majeshi ya huku kwetu kulinda watawala wao wanachojua ni kulinda nchi na sio kulinda watawala. Afrika Magharibi huchezi na dhamana uliopewa eti jeshi likakuacha hawana huo unafiki.
 
Duuh

IMG-20210906-WA0035.jpg
 
Kesha maliza muda wake madarakani akabadili katiba ili aendelee , akamtumia Job wao bunge likapitisha , wakajiongezea marupurupu yeye na wabunge , sasa anaonja joto ya jiwe
Ukiona nchi ambayo jeshi lake linajielewa kama Guinea basi lazima ujue hata huyo anayefanya mapinduzi anajjelewa.

Siyo yale majeshi ambayo mkuu akikohoa anaitwa na kuulizwa unataka nini baba?, Thena anapewa anachotaka hata kama raia wanateseka..!
 
Huko West Africa Bado majeshi yao yanajielewa na inapotokea watawala wakacross line majeshi huingilia na recently tumeona Mali. Na ukimsikilza huyo kiongozi wa mapinduzi anacite bad governance ndo imepelekea wao kuchukua power.
Masela wamepiga shule yakutosha sio wetu hawa wao kozi zakijeshi ndozimejaa vichwani

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi
Tarehe 05/09/2021 jumapili mchana, Mkuu wa vikosi maalum vya jeshi la wananchi wa Guinea, Lieuten Colonel Mamady Doumbouya alitangaza kutwaa madara ya uongozi wa nchi hiyo huku akimkamata na kumuweka kizuizini aliyekuwa raisi wa nchi hiyo Bw. Alpha Conde.
Hatua hiyo imekuja baada ya Alpha Conde kubadili katiba na kujiongezea Muhula wa tatu mwishoni mwa mwaka 2020 jambo lililopingwa vikali na viongozi wa vyama vya upinzani nchini humo.
Kwa mujibu wa Taarifa, uchaguzi huo wa Conde ku
 
WATANZANIA KUNA MAMBUMBUMBU KIBAO WANASHABIKIA BILA KUJUA HISTORIA YA NCHI ZA WATU


FRANCE IKO KWENYE VETO POWER
NA SECURITY COUNCIL YA UN




SASA NCHI NYINGINE NNE ZIKAKUBALI FRANCE AKAKATAA BASI IMEISHA
 
Back
Top Bottom