Rais wa Guinea, Alpha Conde apinduliwa na Jeshi

Rais wa Guinea, Alpha Conde apinduliwa na Jeshi

Nimezaliwa hapa hii ni nchi yangu lakini ccm mnachokifanya Kita backfire tu siku moja magu wenu aliokolewa na kifo mama alianza vizuri mmechafulia rekodi yake Ila tutafika tu huku muda c mrefu mna inequality za kijinga Sana

sku zote inequality zpogo kwenu tu, na ziendelee ivo ivo mpaka mjifunze kua wananchi na muache shobo na wazungu
 
Alpha Condè pia alisingizia kuwa yeye ndiyo muarobaini wa kuhakikisha amani na utulivu nchini Guinea, hivyo wamuache atawale ili aweze kujenga uchumi kwanza kabla ya masuala mengine wanayodai wananchi kufuata kama uhuru, haki, uwajibikaji, kuheshimu katiba na demokrasia pana kupatikana Guinea.

HABARI ZA KINA :
MILIO YA BUNDUKI YASIKIKA MAENEO YA IKULU NA BAADAYE RAIS ALIYEPINDULIWA KUONEKANA AMEKAMATWA

Alpha Condè aongea mbele ya camera kuthibitisha jina lake na kuwa ni yeye anayeonekana akiwa chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi waliompindua.

Source : Sahara TV


inatuhusu vp sasa mdogo wangu?
 
Cheo cha waziri mkuu kakitumikia miaka 24 kisha kawa rais kwa miaka 10 bado akafanya sarakasI aaah aliwa beep jamaa nao wamempigia huu ulevi wa madaraka ni mbaya sana kuliko ulevi wa pombe yoyote unayoijua
 
African Union (AU) watatoa "Press Release" ya kubumba ka kawaida yao
 
Unabishana na bodaboda wana mihemko hawafatilii siasa za West Africa na mapinduzi. Hiyo Guinea tangu iwe huru mwaka 1958 mpaka leo huyo rais Conde ndiye wa kwanza kuchaguliwa na wananchi, ingawa na yeye alivunja katiba last year. Kama yangekuwa maendeleo wangeshapata maana miaka zaidi ya 60 wanaongozwa na jeshi na wana madini kibao huku ni watu milioni 12 tu, ila ni nchi maskini kama mbwa. Kati ya wale wahuni walioonekana hakuna kiongozi pale, miezi mitatu mingi tutaurudia huu uzi na kuwashangaa wanaosifia sahivi
Ni kweli mkuu, kwanza hiyo hapo ndani Ikulu hata sebule yangu ina unafuu, wanaonekana choka mbaya haswaa
 
Amekaa kwa muda gani madarakani?
Huu mwaka wa 11 akiwa madarakani ila kihaki alitakiwa aondoke mwaka jana baada ya kumalizika kwa mihula yake miwili ila kama unavyojua akahonga wabunge wakabadilisha katiba ili agombee tena muhula wa tatu na akatangazwa "mshindi" huku wengi wakipinga sasa ndio yamekuja kumkuta haya. This is Africa.
 
Acha nao wajaribu kuongoza nchi,hata wakifeli shega tu.Kwani nchi iliandikwa wakina Conde tu ndio wenye hatimiliki ya kuongoza nchi?Tena wangempiga na pumbuh kabisa.
Hata wewe nitakujibu baada ya miezi 3
 
Je matukio ya 'kiume ' kama haya yanaweza kupunguza tabia ya 'mbwa' kuwashambulia 'wahudumu' wake baada ya kunenepa?
 
Huyo bwege alikua 83. Alitaka akae ikulu afanye Nini ambacho hajakifanya tangu abalehe?
 
Unabishana na bodaboda wana mihemko hawafatilii siasa za West Africa na mapinduzi. Hiyo Guinea tangu iwe huru mwaka 1958 mpaka leo huyo rais Conde ndiye wa kwanza kuchaguliwa na wananchi, ingawa na yeye alivunja katiba last year. Kama yangekuwa maendeleo wangeshapata maana miaka zaidi ya 60 wanaongozwa na jeshi na wana madini kibao huku ni watu milioni 12 tu, ila ni nchi maskini kama mbwa. Kati ya wale wahuni walioonekana hakuna kiongozi pale, miezi mitatu mingi tutaurudia huu uzi na kuwashangaa wanaosifia sahivi
Sio kweli acha upotoshaji, rais wao wa kwanza Ahmed Sekou Toure aliyetawala kwa miaka 25 hakuwa mwanajeshi na wala aliyemrithi kisha akatawala kwa siku 8 tu kabla ya kupinduliwa na jeshi Louis Lansana Beavogui naye hakuwa mwanajeshi pamoja na huyu aliyepinduliwa majuzi, Alpha Conde.

Wanajeshi walikuwa ni Lansana Conte, Moussa Dadis Camara, Sekouba Konate na huyu Mamady Doumbouya.
 
Nimeona sehemu wanasema rais wa Guinea amepinduliwa na wanajeshi waasi na anapelekwa kwenye mahakama ya kijeshi
View attachment 1925186

===
GUINEA: WANAJESHI WAMPINDUA RAIS

Wanajeshi wamefunga mipaka ya Guinea na kufunga anga baada ya kufanya mapinduzi na kutangaza kutoitambua Katiba iliyorekebisha na Rais Alpha Conde uwezo wa kuwa Rais kwa mara ya tatu

Mamady Doumbouya amesema Umasikini na rushwa iliyokithiri imefanya wapindue nchi. Hivi karibuni kulikuwa na ongezeko la tozo na mafuta yalipanda kwa 20%

Wanajeshi wametangaza kuwa nchi hiyo itakuwa chini ya serikali ya mpito baadhi ya video zikimuonesha Rais Alpha Conde akiwa chini ya maafisa wa Jeshi

Tunavuna tunayopanda. Waafrika hatuheshimu kabisa dhamana ya kuongoza. Tumnadharau wananchi. Tukiwa viongozi, tunajipa level nyingine ambazo wala hatumo.
Ndio maana aliamua kuongeza muda wa kuongoza. Ndio maana aliamua kufanya nchi kama nyumba yake. Mwache alale kwenye sofa bila kuoga kwa siku kadhaa ili akili zirudi kichwani
 
Back
Top Bottom