Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Anajiita Rais baada ya kupora uchaguzi.Namuaddress kwa cheo alichokipora na anachokipenda ili ajijue haraka na kwa upesi kuwa namlenga yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajiita Rais baada ya kupora uchaguzi.Namuaddress kwa cheo alichokipora na anachokipenda ili ajijue haraka na kwa upesi kuwa namlenga yeye.
Nimezaliwa hapa hii ni nchi yangu lakini ccm mnachokifanya Kita backfire tu siku moja magu wenu aliokolewa na kifo mama alianza vizuri mmechafulia rekodi yake Ila tutafika tu huku muda c mrefu mna inequality za kijinga Sana
Alpha Condè pia alisingizia kuwa yeye ndiyo muarobaini wa kuhakikisha amani na utulivu nchini Guinea, hivyo wamuache atawale ili aweze kujenga uchumi kwanza kabla ya masuala mengine wanayodai wananchi kufuata kama uhuru, haki, uwajibikaji, kuheshimu katiba na demokrasia pana kupatikana Guinea.
HABARI ZA KINA :
MILIO YA BUNDUKI YASIKIKA MAENEO YA IKULU NA BAADAYE RAIS ALIYEPINDULIWA KUONEKANA AMEKAMATWA
Alpha Condè aongea mbele ya camera kuthibitisha jina lake na kuwa ni yeye anayeonekana akiwa chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi waliompindua.
Source : Sahara TV
Tanzania hakuna amani acha ujinga Kuna utulivu unaosababishwa na umbumbumbu
Kawa mpole kama Mbowe......Afu kawa mpole Kama sio yeye
Ni kweli mkuu, kwanza hiyo hapo ndani Ikulu hata sebule yangu ina unafuu, wanaonekana choka mbaya haswaaUnabishana na bodaboda wana mihemko hawafatilii siasa za West Africa na mapinduzi. Hiyo Guinea tangu iwe huru mwaka 1958 mpaka leo huyo rais Conde ndiye wa kwanza kuchaguliwa na wananchi, ingawa na yeye alivunja katiba last year. Kama yangekuwa maendeleo wangeshapata maana miaka zaidi ya 60 wanaongozwa na jeshi na wana madini kibao huku ni watu milioni 12 tu, ila ni nchi maskini kama mbwa. Kati ya wale wahuni walioonekana hakuna kiongozi pale, miezi mitatu mingi tutaurudia huu uzi na kuwashangaa wanaosifia sahivi
Aise pole sana rafiki. Guinea mji mkuu Conacry, Mali mji mkuu Bamako.Kumbe nchi ya Guinea ndiyo Mali Kwa kiswahili?
Na wewe naye, uliambiwa uache bangi hutaki kusikia. Hata subject inayoongelewa humu hujui ni kuropoka tu.Kawa mpole kama Mbowe.
Nikiacha bangi pusherman atauza wapi?Na wewe naye, uliambiwa uache bangi hutaki kusikia. Hata subject inayoongelewa humu hujui ni kuropoka tu.
Huu mwaka wa 11 akiwa madarakani ila kihaki alitakiwa aondoke mwaka jana baada ya kumalizika kwa mihula yake miwili ila kama unavyojua akahonga wabunge wakabadilisha katiba ili agombee tena muhula wa tatu na akatangazwa "mshindi" huku wengi wakipinga sasa ndio yamekuja kumkuta haya. This is Africa.Amekaa kwa muda gani madarakani?
Nitajibu comment yako baada ya miezi 3Raisi Sekou toure alichaguliwa na nani na ilikua mwaka gani?
Hata wewe nitakujibu baada ya miezi 3Acha nao wajaribu kuongoza nchi,hata wakifeli shega tu.Kwani nchi iliandikwa wakina Conde tu ndio wenye hatimiliki ya kuongoza nchi?Tena wangempiga na pumbuh kabisa.
Sawa kabisa bodaboda mwenzangu,kula vichwa hapo kijiweni.Hata wewe nitakujibu baada ya miezi 3
Sio kweli acha upotoshaji, rais wao wa kwanza Ahmed Sekou Toure aliyetawala kwa miaka 25 hakuwa mwanajeshi na wala aliyemrithi kisha akatawala kwa siku 8 tu kabla ya kupinduliwa na jeshi Louis Lansana Beavogui naye hakuwa mwanajeshi pamoja na huyu aliyepinduliwa majuzi, Alpha Conde.Unabishana na bodaboda wana mihemko hawafatilii siasa za West Africa na mapinduzi. Hiyo Guinea tangu iwe huru mwaka 1958 mpaka leo huyo rais Conde ndiye wa kwanza kuchaguliwa na wananchi, ingawa na yeye alivunja katiba last year. Kama yangekuwa maendeleo wangeshapata maana miaka zaidi ya 60 wanaongozwa na jeshi na wana madini kibao huku ni watu milioni 12 tu, ila ni nchi maskini kama mbwa. Kati ya wale wahuni walioonekana hakuna kiongozi pale, miezi mitatu mingi tutaurudia huu uzi na kuwashangaa wanaosifia sahivi
Nimeona sehemu wanasema rais wa Guinea amepinduliwa na wanajeshi waasi na anapelekwa kwenye mahakama ya kijeshi
View attachment 1925186
===
GUINEA: WANAJESHI WAMPINDUA RAIS
Wanajeshi wamefunga mipaka ya Guinea na kufunga anga baada ya kufanya mapinduzi na kutangaza kutoitambua Katiba iliyorekebisha na Rais Alpha Conde uwezo wa kuwa Rais kwa mara ya tatu
Mamady Doumbouya amesema Umasikini na rushwa iliyokithiri imefanya wapindue nchi. Hivi karibuni kulikuwa na ongezeko la tozo na mafuta yalipanda kwa 20%
Wanajeshi wametangaza kuwa nchi hiyo itakuwa chini ya serikali ya mpito baadhi ya video zikimuonesha Rais Alpha Conde akiwa chini ya maafisa wa Jeshi