Rais wa Guinea Ikweta, amteua Zenón Avomo kurithi Mikoba ya Baltasar Engonga, aliyeng’olewa kufuatia kashfa ya video za ngono 400

Hii nchi ina watu wangapi kwanza? sitaki ku-google
 
Wanamuonea tu, waliogongwa wamelalamika, au kuna aliye lalamika au kukanusha? Hakuna mtoto mdogo yaani chini ya mika 18 aliye gongwa, sasa kosa lake nini?

Video ni kama picha tu tunavyotunza albam za picha ni ukumbusho tu, siyo kwamba alikuwa anaziuza?

Tatizo lake nini? Ngono nani hafanyi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…