cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Mar 19, 2023 #141 Mamba_Mtoni said: Nawaombea awa dog wachakazwe Kesho waliabishe taifa mana wana midomo Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaaa
Mamba_Mtoni said: Nawaombea awa dog wachakazwe Kesho waliabishe taifa mana wana midomo Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaaa
M mmteule JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 5,883 Reaction score 14,600 Mar 19, 2023 #142 Horoya fan njooo huku. Simba siyo Utopolo ujue. Rais wa Horoya yuko ICU Aghakan kazilai jana kuiona SIMBA ikiilalua kwa aibu timu yake
Horoya fan njooo huku. Simba siyo Utopolo ujue. Rais wa Horoya yuko ICU Aghakan kazilai jana kuiona SIMBA ikiilalua kwa aibu timu yake
Gamaha JF-Expert Member Joined Jul 17, 2008 Posts 3,915 Reaction score 5,038 Mar 19, 2023 #143 blogger said: Mbona kaongea ukweli mtupuu... Kaushindi haka ka leo hakaifanyi Simba kuwa LISIIIMBAA... Click to expand... Kuna watu hapa hapa nchini mara ya mwisho kufika hatua hii ni mwaka 1998 . lkn wanajiita litimu kubwa Africa.
blogger said: Mbona kaongea ukweli mtupuu... Kaushindi haka ka leo hakaifanyi Simba kuwa LISIIIMBAA... Click to expand... Kuna watu hapa hapa nchini mara ya mwisho kufika hatua hii ni mwaka 1998 . lkn wanajiita litimu kubwa Africa.
econonist JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 20,189 Reaction score 29,663 Mar 19, 2023 #144 Huyo Rais kaiponza timu kwa kauli yake.
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Mar 19, 2023 #145 Mwingine alituita Zuwena,akapigwa nje ndani