Rais wa Iran agoma Kusaini sheria kali ya mavazi

Rais wa Iran agoma Kusaini sheria kali ya mavazi

Ingawa Falme nyingi ni symbolically na ni kama una mshale mmoja wa kutumia ukiutumie ni vigumu kumuua adui na uki backfire kumbuka wewe ndio utaondoka...
Nyoosha maelezo,
Falme zote za Ulaya na Japan ni symbolically/ ceremonial lakini karibia falme zote za nje ya Ulaya ni "Absolute monarchies"
 
Nyoosha maelezo,
Falme zote za Ulaya na Japan ni symbolically/ ceremonial lakini karibia falme zote za nje ya Ulaya ni "Absolute monarchies"
Kwamba sijakujibu swali lako kwamba ni lini UK Monarchy ilikwenda against Parliament au Swali lilikuwa nini ?
 
Situlikubaliana kuwa kila maamuzi ya Iran yanatolewa na Hayatullah kumbe na rais ana mamlaka ya kuamua kitu fulani kifanyike na kingine kisifanyike?

Kwahiyo kuanzia sasa tusisikie tena tumba za Iran ni nchi ya kidkiteta.

Kuna sheria Rais anasain ila mwenyw mamlaka ni Ayatollah.
 
Mkuu

Mimi naomba kuelemishwa. Kwani Ayatollah ana mamlaka gani na raisi ana mamlaka gani ndani ya nchi?

Na kwanini awepo ayatollah na Raisi?

Ayatollah ndio mwenye mamlaka.

Ukisoma Katiba ya Iran Ibara ya 110 (9) imempa mamlaka Ayatollah kuthibitisha Rais aliyechaguliwa. So Ayatollah anaweza kugoma kumthibitisha Rais aliyechaguliwa.

Pia Ibara ya 110 (10) imempa Ayatollah mamlaka ya kumuondoa Rais madarakani iwapo atapigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye.

Iran wameweka nafasi ya Urais ili kuwapa wananchi uhuru wa kuchagua kiongozi wao wa kiraia na pia Rais kuwa mkuu wa serikali peke, huku Ayatollah akiendelea kuwa kiongozi mkuu wa kidini na mkuu wa nchi.
 
Unajua maana ya ceremonial? Wanabariki as part of tamaduni, but waziri mkuu anae chaguliwa na wananchi kwa kura hawana mandate ya kumu engua kama wangekuwa na mamlaka hayo
Hata Hayatollah hana mamlaka ya kumuengua rais akisha chaguliwa na wananchi.
Hata hapo kenya rais hana uwezo wa kumfukuza kazi makamu wake wa rais lakini hilo halimaanishi kuwa rais ndo nwenye namlaka makubwa.
 
Hakuna maamuzi yeyote yenye msitakabali wa taifa yanayo weza kupita bila baraka za familia ya kifalme.

Punguza kuropoka. UK Ina bunge na Waziri Mkuu. Mfalme ni ceremonial leader.
 
Punguza kuropoka. UK Ina bunge na Waziri Mkuu. Mfalme ni ceremonial leader.
Hao wamefundishwa kuishi katika uongo! Ukweli ni sumu kwao hasa ukiwa unawagusa watu wao.
 
Hata Hayatollah hana mamlaka ya kumuengua rais akisha chaguliwa na wananchi.
Hata hapo kenya rais hana uwezo wa kumfukuza kazi makamu wake wa rais lakini hilo halimaanishi kuwa rais ndo nwenye namlaka makubwa.
Mwaka 2009 Ayatollah alimpa amri Rais kumfukuza makamu wa Rais aliyetoa kauli kwamba Iran ni rafiki wa mataifa yote.
 
Punguza kuropoka. UK Ina bunge na Waziri Mkuu. Mfalme ni ceremonial leader.
Waziri mkuu awezi kutambuliwa mpaka afhitishwe na mfalme.

Ya kwamba waziri mkuu ana uwezo was kuamuru jeshi kuingia vitani bila idhini to mfalme?
 
Mwaka 2009 Ayatollah alimpa amri Rais kumfukuza makamu wa Rais aliyetoa kauli kwamba Iran ni rafiki wa mataifa yote.
Hata Uingereza kiongozi akienda kinyume na masilahi ya kifalme ataondolewa bila kujali ni kwa njia gani.
 
Hao wamefundishwa kuishi katika uongo! Ukweli ni sumu kwao hasa ukiwa unawagusa watu wao.
Kwa hiyo mfalme wa Uingereza hana maamuzi yeyote ndani ya nchi hiyo?
 
Kwa hiyo mfalme wa Uingereza hana maamuzi yeyote ndani ya nchi hiyo?
Ufalme wa Uingereza ni ceremonial; it is not absolute monarchy but constitutional one.

Juzi hapa (2013) Bunge limetengua utaratibu uliokuwepo toka enzi na enzi wa mtoto wa kwanza wa kiume kuwa ndiye mrithi wa ufalme badala yake since then ni mtoto wa kwanza - full stop na ufalme umetii maamuzi ya Bunge.
 
Back
Top Bottom