MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Israel wanaendelea kuvuka mistari yote inayochorwa na Waarabu na Iran, mistari ya blu, nyekundu inafyatua yote....
Rais wa Iran kaambulia kulalamika kwenye mitandao ya kijamii....
Katukanwa sana huko kwenye comments maana Iran ndio ilikua tegemeo la pekee la watu wa hiyo dini.
View: https://twitter.com/raisi_com/status/1718461912168489156?ref_src=twsrc%5egoogle%7ctwcamp%5eserp%7ctwgr%5etweet%7ctwtr%5etrue
Rais wa Iran kaambulia kulalamika kwenye mitandao ya kijamii....
Katukanwa sana huko kwenye comments maana Iran ndio ilikua tegemeo la pekee la watu wa hiyo dini.
View: https://twitter.com/raisi_com/status/1718461912168489156?ref_src=twsrc%5egoogle%7ctwcamp%5eserp%7ctwgr%5etweet%7ctwtr%5etrue