Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Badala ya red line wekeni bleedSawa agent wa LGBTQ π
Sasa kinachomshinda kuifuta Israel ni nini?Nini anacho Israel ambacho Iran hana??
Pia vita sio kama karata kila mtu acheze.
Aifute bila ugomvi!!! Ukiwa na nguvu unapiga watu bila sababu?.Sasa kinachomshinda kuifuta Israel ni nini?
Kuna wakati jihadists mnasema Marekani hana lolote na yeye anamtegemea Israel, sasa tushike ipi..!!Israel analindwa na USA na ndicho kinampa kiburi..
Kuna wakati jihadists mnasema Marekani hana lolote na yeye anamtegemea Israel, sasa tushike lipi..!!Aifute bila ugomvi!!! Ukiwa na nguvu unapiga watu bila sababu?.
Israel ki ulinzi USA wanahusika.
USA ajiondoe kumsaidia Israel uone.
Omba kuonana na ubalozi wao ukamwambie,au nawe nenda ukajiunge nao Gaza,vinginevyo na wewe ni kama huyo muiran,maana na wewe umeishia kulaumu wenzio humu mtandaoni. Tofauti ni kuwa Yeye yupo twita wewe upo Jf.Israel wanaendelea kuvuka mistari yote inayochorwa na Waarabu na Iran, mistari ya blu, nyekundu inafyatua yote....
Rais wa Iran kaambulia kulalamika kwenye mitandao ya kijamii....
Katukanwa sana huko kwenye comments maana Iran ndio ilikua tegemeo la pekee la watu wa hiyo dini.
View: https://twitter.com/raisi_com/status/1718461912168489156?ref_src=twsrc%5egoogle%7ctwcamp%5eserp%7ctwgr%5etweet%7ctwtr%5etrue
Kuna tofauti gani, hezbula, Hamas, na vikundi vingine vya kigaidi vinavyomtegemea Iran!Kuna wakati jihadists mnasema Marekani hana lolote na yeye anamtegemea Israel, sasa tushike lipi..!!
Sawa moto si unauona unavyopelekewa auNilijua tu mkibanwa na kukosa hoja mnakimbilia kwenye dini na usichokijua mie sio muislamu hio picha imekuchanganya na kuonyesha jinsi gany ulivyolipumbavu likubwa.
Ugomvi hupo kila siku anamtwanga Hamas amebakia kubweka nitaifuta Israel kwenye ramani. Waifute sasa wanangoja nini na migovi yao?Aifute bila ugomvi!!! Ukiwa na nguvu unapiga watu bila sababu?.
Israel ki ulinzi USA wanahusika.
USA ajiondoe kumsaidia Israel uone.
Hamas ni nchi? Hamas wako wangapi? Hamas ni wanamgambo wachache tu, Israel je?Ugomvi hupo kila siku anamtwanga Hamas amebakia kubweka nitaifuta Israel kwenye ramani. Waifute sasa wanangoja nini na migovi yao?
Ifuteni Israel sasa nyie magoviHamas ni nchi? Hamas wako wangapi? Hamas ni wanamgambo wachache tu, Israel je?
Yaana una akili unadhani hamas ni jeshi la nchi fulani linapambana na Israel!!!!
Jua chanzo cha mgogoro kwanza..Ifuteni Israel sasa nyie magovi