Rais wa Israel asema Netanyahu ataondoka tu

Si kweli makubaliano yalikua ni Israel wawaache Hamas washambulie kuuwa na kuteka dada na wake zao ili Israel apate sababu ya kuifuta kabisa Gaza na Hamas.

Hayo ☝️ndio yalikua mawazo ya waisrael wa Kimara Bonyokwa.
 
wasimlaumu netanyah , shambulizi Lili ratibiwa kwa umakini mkubwa . kwanza waliwapumbaza kwa kutokuinyesha dalili zozote kuwa wanajiandaa kufanya shambulio, pili hakuna dalili zikozoonyesha Kuna uingizwaji wa silaha , Hamas walihakikisha kuweka mazingira ya amani na utulivu kwa muda mrefu na huku wakiendelea na plan zao, walivyofanya Hamas ni kuhakikisha mazingira ya amani na utulivu kwa muda mrefu na kuonyesha onyonge wakutosha kwa wa Israel .
 
Kujibizana na mtoto mdogo kama wewe wa 1994 ni kijidhalilisha na kupoteza muda wangu maana huna ulijualo kuhusu huu mzozo.
kwan umri ndo akili ? jitafakari tena mkuu
ingekuwa umri ni akili bas viongoz wetu wangekuwa wametufikisha mbali sana , kuonesha huna akili kuona 94 ya kwenye jina umeipa umri tyr , wee ni kilaza na huez jitambua mpk siku ukilaza ukutoke
 
Si kweli makubaliano yalikua ni Israel wawaache Hamas washambulie kuuwa na kuteka dada na wake zao ili Israel apate sababu ya kuifuta kabisa Gaza na Hamas.

Hayo ☝️ndio yalikua mawazo ya waisrael wa Kimara Bonyokwa.
soma ulichoandika tena halaf jitafakari mkuu , yaana wakubaliane ili mmoja afutwe , duh watz tunazingua sana
 
Hizi dua za kuku bwana, taabu tupu.
 
Netanyau ,inatosha arudi kwao US miaka 30 inatosha,Obama katika utawala wake akiulizwa kuhusu kiongozi changamoto

Hua hasiti ,anakwambia hakuna mtu mwongo kama netanyau mkizunguzma kitu anaitikia ,kinachoenda kutolea kingine
 
Ngoja waje wayahudi wa Namtumbo, Nansio pamoja na Kongwa
 
Kumbe alizaliwa US
kwanini analeta shida namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…