Tetesi: Rais wa karne atakuwa Magufuli

Tetesi: Rais wa karne atakuwa Magufuli

comrade igwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
7,295
Reaction score
3,950
Wana - JF.

Dunia haikutegemea kumpata Rais mzalendo hivyo, sasa nchi nyingi duniani zinatamani na zinaiga misimamo na itikadi za uongozi wake, mwokozi -binadamu, dunia imepata mtikisiko wa ujio wake wenye msimamo wa kunyoosha njia, kuondoa unyanyasiji, kuweka uwajibikaji, heshima,nidhamu ya matumizi ya fedha na maadili, dunia inashangilia katokea Tanzania, maana wengine walijifanya wanajua kumbe anaejua yupo na ndio Rais sasa,kuna msemo unasema nabii hakubaliki nyumbani, sasa huo usemi hauna nafasi, jirani na mbali wanamsifia na kutamani style yake ya uongozi.

Ninawasilisha kutoka halmashauri ya kichwa
 
Wana - JF.

Dunia haikutegemea kumpata Rais mzalendo hivyo, sasa nchi nyingi duniani zinatamani na zinaiga misimamo na itikadi za uongozi wake, mwokozi -binadamu, dunia imepata mtikisiko wa ujio wake wenye msimamo wa kunyoosha njia, kuondoa unyanyasiji, kuweka uwajibikaji, heshima,nidhamu ya matumizi ya fedha na maadili,dunia inashangaa katokea Tanzania

Ninawasilisha kutoka halmashauri ya kichwa
Watu wlifunga na kuomba MUNGU kawajibu
Ingawa mwanzo ilikuwa chungu ni dawa italeta uponyaji
 
huyu ambaye amepangia hela za misaada kazi nyingine ama yupi? indeed dunia inashangangaa kpitia tanzania
 
Miaka 10 ni muongo.
Muongo mmoja ndio idadi ya marais wetu kikomo kwenye katiba.
 
Kama hujisikii kutoa mchango pita kimya bila kuharibu hali ya hewa
 
Wana - JF.
Dunia haikutegemea kumpata Rais mzalendo hivyo, sasa nchi nyingi duniani zinatamani na zinaiga misimamo na itikadi za uongozi wake, mwokozi -binadamu, dunia imepata mtikisiko wa ujio wake wenye msimamo wa kunyoosha njia, kuondoa unyanyasiji, kuweka uwajibikaji, heshima,nidhamu ya matumizi ya fedha na maadili,dunia inashangaa katokea Tanzania
Ninawasilisha kutoka halmashauri ya kichwa

Mkuu watakuelewa kweli? Maana yake wanataka ashindwe ili wao watawale.
 
Mwambie apeleke misaada alayowachangisha wafanyabiashara sio kila muda kutaka akae kwenye kamera na kutoa matamko.
 
Hivi serikali imechangia sh. ngapi kwenye tetemeko la Kagera?
 
mtoa mada hayajui haya;nyumba za serikali,mv dsm,lugumi,escrow,fedha za tetemeko,demokrasia,katiba ya wananchi,kujaza makada kwenye udas na uded etc etc etc...tutolee upuuzi wako
 
Wana - JF.

Dunia haikutegemea kumpata Rais mzalendo hivyo, sasa nchi nyingi duniani zinatamani na zinaiga misimamo na itikadi za uongozi wake, mwokozi -binadamu, dunia imepata mtikisiko wa ujio wake wenye msimamo wa kunyoosha njia, kuondoa unyanyasiji, kuweka uwajibikaji, heshima,nidhamu ya matumizi ya fedha na maadili,dunia inashangaa katokea Tanzania

Ninawasilisha kutoka halmashauri ya kichwa
Umesema kweli Togo...souz...nigeria wanauliza magufuli ni nani?Togo waliambiwa kufanya usafi wakaita maguguli day....leo amezuia maafisa kwenda kwenye mbio za mwenge na kaagiza pesa walizopewa warejeshe hakuna mzaha huyu jamaa mkombozi wa ukweli kabisaa...
 
Mkuu bukoba sasa hivi eti wanapewa msaada wa biskut na maji. Kwani walikumbwa na tetemeko la njaa? Mtu alale kwenye pakti ya biskut au. Hebu tutolee hiyo
 
Back
Top Bottom