huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,520
- 1,462
Sawa Mkuu huo ndo ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Himfaham? Maana apa atutaki unafiki mtu akiwa huku anaonekana mbaya akija uko anakua msafi...mamvi ndo nani na kafikaje fikaje kwenye hii nyuzi
Ndo alikuwa anatetea rasimu ya ccmmamvi ndo nani na kafikaje fikaje kwenye hii nyuzi
Anajifanya hamfahamu tena wakati ndo alikuwa anatetea mambo ya ccm kabla hajaenda kwenye chama cha wababaishajiHimfaham? Maana apa atutaki unafiki mtu akiwa huku anaonekana mbaya akija uko anakua msafi...
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
UVCCM mnapenda lingi zisizo na maanaAnajifanya hamfahamu tena wakati ndo alikuwa anatetea mambo ya ccm kabla hajaenda kwenye chama cha wababaishaji
mkuu ungekuwa karibu ningekununulia sahani la ubwabwaUngekuwa mtoto wa kaka yangu au unaishi kwetuu! Leo ningekufumua mnooo maana unaongea ujinga
Mzalendo gani anenunua mapangaboi na kuwaacha wananchi wake wakifa hospitalini kwa kukosa dawaWana - JF.
Dunia haikutegemea kumpata Rais mzalendo hivyo, sasa nchi nyingi duniani zinatamani na zinaiga misimamo na itikadi za uongozi wake, mwokozi -binadamu, dunia imepata mtikisiko wa ujio wake wenye msimamo wa kunyoosha njia, kuondoa unyanyasiji, kuweka uwajibikaji, heshima,nidhamu ya matumizi ya fedha na maadili,dunia inashangaa katokea Tanzania
Ninawasilisha kutoka halmashauri ya kichwa
Kilichowafanya mpokee lowasa ni nn na kumtema dr slaa?UVCCM mnapenda lingi zisizo na maana
Unachosema si kipya kwani hats farao na ubaya wake wote dunia ilikua inamshangaa. Je Hitra dunia si ilishangaa zaidi? Kwa hiyo si ajabu.Wana - JF.
Dunia haikutegemea kumpata Rais mzalendo hivyo, sasa nchi nyingi duniani zinatamani na zinaiga misimamo na itikadi za uongozi wake, mwokozi -binadamu, dunia imepata mtikisiko wa ujio wake wenye msimamo wa kunyoosha njia, kuondoa unyanyasiji, kuweka uwajibikaji, heshima,nidhamu ya matumizi ya fedha na maadili,dunia inashangaa katokea Tanzania
Ninawasilisha kutoka halmashauri ya kichwa
Anahusikaje na escrow, lugumi, rada? Nchi hii mnakaririshwa kuanzia darasani hadi mitaani.mtoa mada hayajui haya;nyumba za serikali,mv dsm,lugumi,escrow,fedha za tetemeko,demokrasia,katiba ya wananchi,kujaza makada kwenye udas na uded etc etc etc...tutolee upuuzi wako
kinakuumeni sana eenh, endeleni kula mihogo bila kusahau kushushia na maji baridi mwisho wa siku mtazoeaKilichowafanya mpokee lowasa ni nn na kumtema dr slaa?
Mlihisi kuwa atautwaa Urais kuliko dr slaa?
Mbowe kashawashika wote nyie chadema hakuna lolote!
baba watoto nimekukosa sana, uko salama lknAnahusikaje na escrow, lugumi, rada? Nchi hii mnakaririshwa kuanzia darasani hadi mitaani.
Kiongozi, habari ya hapa akikujibu niite.Kilichowafanya mpokee lowasa ni nn na kumtema dr slaa?
Mlihisi kuwa atautwaa Urais kuliko dr slaa?
Mbowe kashawashika wote nyie chadema hakuna lolote!
Ukitaka kuwaweza waambie watamke neno UFISADI....Anajifanya hamfahamu tena wakati ndo alikuwa anatetea mambo ya ccm kabla hajaenda kwenye chama cha wababaishaji
Salama sana, hapa ni T2016JPM tu mama.baba watoto nimekukosa sana, uko salama lkn
ha ha ha wewe tena km mgonjwa na ujiSalama sana, hapa ni T2016JPM tu mama.