Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu toa uchafu wako hapa
Maguguli ndio nani? Acha kashifa weweUmesema kweli Togo...souz...nigeria wanauliza magufuli ni nani?Togo waliambiwa kufanya usafi wakaita maguguli day....leo amezuia maafisa kwenda kwenye mbio za mwenge na kaagiza pesa walizopewa warejeshe hakuna mzaha huyu jamaa mkombozi wa ukweli kabisaa...
mamvi ndo nani na kafikaje fikaje kwenye hii nyuzi
Wapi hiyo.........Mkuu bukoba sasa hivi eti wanapewa msaada wa biskut na maji. Kwani walikumbwa na tetemeko la njaa? Mtu alale kwenye pakti ya biskut au. Hebu tutolee hiyo
Unatafuta nini kwenye uchafu??hebu toa uchafu wako hapa
mental retardation at its finest,naona hujui nguvu ya rais katika hayomaskendo?au unadhani rais wa nchi hii anaishia kuzuia hela ya mwenge tu isilipwe?!!!go back to school.Anahusikaje na escrow, lugumi, rada? Nchi hii mnakaririshwa kuanzia darasani hadi mitaani.
Nashukuru ila ujumbe umefikaHaruhusu= aruhusu
walioba = Warioba
Umesema kweli Togo...souz...nigeria wanauliza magufuli ni nani?Togo waliambiwa kufanya usafi wakaita maguguli day....leo amezuia maafisa kwenda kwenye mbio za mwenge na kaagiza pesa walizopewa warejeshe hakuna mzaha huyu jamaa mkombozi wa ukweli kabisaa...
Bila shaka Noble award au ile ya MO Ibrahim ikaja Tz
Mwambie apeleke misaada alayowachangisha wafanyabiashara sio kila muda kutaka akae kwenye kamera na kutoa matamko.
hivi wewe mtu akikuita au akikuambia wewe una uwezo kama Mungu,utamuona ni mkweli au ni muhongo?nijibu kwanza hapo ili nipate kuelewa kama utanuelewa ufafanuzi wangulete ufafanuzi mkuu wangu
Hawa ambao ni hewa na wakandamizaji na mafisadi ndo walikuwa wanaifanya The world isiwe fairaiseee duniani hakuna haki
Asanteee umemjibu vuzuriMkuu the World is very fair unapata hewa safi bure, mazingira na mandhari mazuri bure, lakini peoples are not fair at all, sasa wale waliokua sio fair ndio wananyukwa ili wawe fair na dunia iwe mahali salama zaidi
You should go back to class man, or else utakuwa kati ya wale 450K. Unajua hayo ma kashfa yalianza lini, ili useme raisi ayazuie?mental retardation at its finest,naona hujui nguvu ya rais katika hayomaskendo?au unadhani rais wa nchi hii anaishia kuzuia hela ya mwenge tu isilipwe?!!!go back to school.