Tetesi: Rais wa karne atakuwa Magufuli

Tetesi: Rais wa karne atakuwa Magufuli

Mkuu bukoba sasa hivi eti wanapewa msaada wa biskut na maji. Kwani walikumbwa na tetemeko la njaa? Mtu alale kwenye pakti ya biskut au. Hebu tutolee hiyo
hahahahaha kwa zile dolari zote kwenye sandarusi wameishia biskuti za 50 na maji ya baresa shkamoo ccm
 
Umesema kweli Togo...souz...nigeria wanauliza magufuli ni nani?Togo waliambiwa kufanya usafi wakaita maguguli day....leo amezuia maafisa kwenda kwenye mbio za mwenge na kaagiza pesa walizopewa warejeshe hakuna mzaha huyu jamaa mkombozi wa ukweli kabisaa...
kwa hiyo kwenye mwenge anataka aende yeye peke yake na yeye akienda anaenda kwa miguu?na apewi pesa yoyote?hapo ni sawa na kushinda njaa na pesa unazo
 
Halmashauri ya kichwa chako haina DT.
Ingekuwa nae angeshakwambia habari za OC.
 
alichofanya mtoa mada ni kashfa kubwa lakini kwa kuwa umetoa kashfa kwa kusifia uwenda ukapata cheo maana inaitaji uelewa wa hali ya juu kujua kwamba,hiyo ni kashfa
 
aiseee duniani hakuna haki

Mkuu the World is very fair unapata hewa safi bure, mazingira na mandhari mazuri bure, lakini peoples are not fair at all, sasa wale waliokua sio fair ndio wananyukwa ili wawe fair na dunia iwe mahali salama zaidi
 
Tumeshawazoea. Kuna wakati mlimpamba sana mtu fulani pia, lakini ni nyie nyie leo mnamlaani kama nini. This is how you are, truth is your big enemy...
 
Back
Top Bottom