habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
uvccm bwana hivi mshawahi kumsikia bosi wenu akimsema lowasaUkitaka kuwaweza waambie watamke neno UFISADI....
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uvccm bwana hivi mshawahi kumsikia bosi wenu akimsema lowasaUkitaka kuwaweza waambie watamke neno UFISADI....
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Jibu swali acha kuweweseka povu ya nn?kinakuumeni sana eenh, endeleni kula mihogo bila kusahau kushushia na maji baridi mwisho wa siku mtazoea
Tusubiri tena T2025....! Sijui gear itabadilishwa vipi tena.ha ha ha wewe tena km mgonjwa na uji
Hawezi kunijibu maana hata yy haelewi jinsi lowasa alivyofikafika kwenye chama Chao cha wababaishajiKiongozi, habari ya hapa akikujibu niite.
wataka nikujibu nini mkuu, tanzania hakuna wasomi acha kujitia aibuJibu swali acha kuweweseka povu ya nn?
Au unafuata tu mkumbo?
Jibu swali Kama msomi bhana
Ule ni ukuta wa barafu, unajua tena ukuta wa barafu ulivyo imara.Hawezi kunijibu maana hata yy haelewi jinsi lowasa alivyofikafika kwenye chama Chao cha wababaishaji
Hivi ule UKUTA wao umeishiaga wap?
nimeamua kuwa bize kutafuta ugali wa siku nilishe wanangu, muda wa kuanza kutafutana na polisi kwa kesi za uchochezi sina,Tusubiri tena T2025....! Sijui gear itabadilishwa vipi tena.
mizuka mibaya sanaHawezi kunijibu maana hata yy haelewi jinsi lowasa alivyofikafika kwenye chama Chao cha wababaishaji
Hivi ule UKUTA wao umeishiaga wap?
Jibu swali nililokuuliza usizunguke kama nungununguwataka nikujibu nini mkuu, tanzania hakuna wasomi acha kujitia aibu
huna swali zaidi nakuona km wacheza mdumange tuJibu swali nililokuuliza usizunguke kama nungunungu
Watamchukua profesa hawa...Tusubiri tena T2025....! Sijui gear itabadilishwa vipi tena.
Angalau umewajua wanasiasa wa nchi yako. Tafuta ugali mama.nimeamua kuwa bize kutafuta ugali wa siku nilishe wanangu, muda wa kuanza kutafutana na polisi kwa kesi za uchochezi sina,
Mkuu bukoba sasa hivi eti wanapewa msaada wa biskut na maji. Kwani walikumbwa na tetemeko la njaa? Mtu alale kwenye pakti ya biskut au. Hebu tutolee hiyo
nimechana kadi zangu zote za vyama nilizokuwa nazo, nimebaki na katiba na biblia basiAngalau umewajua wanasiasa wa nchi yako. Tafuta ugali mama.
Kwan biblia nayo nu kadi mkuu?nimechana kadi zangu zote za vyama nilizokuwa nazo, nimebaki na katiba na biblia basi
Kwenye ukuta ulitegemea utapata Unga?nimeamua kuwa bize kutafuta ugali wa siku nilishe wanangu, muda wa kuanza kutafutana na polisi kwa kesi za uchochezi sina,
ili niwe mwanacha halali wa cuf lazima niwe na kadi ya kafu, vivyo hivyo ili niwe mkritu mzuri lazima niwe na bibliaKwan biblia nayo nu kadi mkuu?
haijachangia kwa sababu yenyewe haijaleta matetemekoHivi serikali imechangia sh. ngapi kwenye tetemeko la Kagera?
ilikuwa ni kwaajili ya watoto wetu, unajifanya husikii kwa kuangalia tumbo lako wakati huu sioKwenye ukuta ulitegemea utapata Unga?