Tetesi: Rais wa karne atakuwa Magufuli

Tetesi: Rais wa karne atakuwa Magufuli

We jamaa Vijana wanateseka mtaani ajira hakuna jamaa anakandamiza upinxani yeye kamtuma lipumba
 
Mkuu bukoba sasa hivi eti wanapewa msaada wa biskut na maji. Kwani walikumbwa na tetemeko la njaa? Mtu alale kwenye pakti ya biskut au. Hebu tutolee hiyo

we mbona ulipata mgawo wa akaunti feki ya maafa kagera, ??!!!! hahahhahah kaka zako wakanyukwa hilo mbona hulioni? hao watendaji wanaogawa biskuti na maji waendelee ni moja ya misaada lakini wakifika chakula watachomwa sindano na Dr
 
Back
Top Bottom