Tetesi: Rais wa karne atakuwa Magufuli

You should go back to class man, or else utakuwa kati ya wale 450K. Unajua hayo ma kashfa yalianza lini, ili useme raisi ayazuie?
ndo maana nakwambia we bado,nani kasema hayarudie!!!!watumishi hewa walipokuwa wanatengenezwa alikuwepo?
 
ndo maana nakwambia we bado,nani kasema hayarudie!!!!watumishi hewa walipokuwa wanatengenezwa alikuwepo?
Kwani watumishi, wanafunzi na mikopo hewa ilikuwa contract-based? Unaweza kuingilia mikataba kama IPTL na kuivunja kichwa kichwa? Go back to class.
 
118564"]You should go back to class man, or else utakuwa kati ya wale 450K. Unajua hayo ma kashfa yalianza lini, ili useme raisi ayazuie?[/QUOTE]
hakuna sehemu nimesema hayazuie,afanye kama anavyofanya kwenye watumishi hewa kwa sababu hata hao amewakuta...soma kitu uelewe
 
Kwani watumishi, wanafunzi na mikopo hewa ilikuwa contract-based? Unaweza kuingilia mikataba kama IPTL na kuivunja kichwa kichwa? Go back to class.
mbona rais wako kipenzi anaongelea kuvunja mikataba ya madiini?
 
Mungu akiwa upande wetu
 
hii karne imeanza lini? na inaisha lini? karne ni miaka mingapi?
 
Tatizo la Watanzania tunakuwa MOVED na vitu vidodgo vidogo sana!!

No wonder we are going no where!!
 
Vipi ametoa hela za kununua dawa kwa ajili ya maskini wanaokufa bila kuwepo dawa za kutosha MSD na kwenye hospitali za Umma
 
Nina marafiki wa nchi za nje esp wa Africa wanampenda sana sana Magufuli, yaani wanafatilia anayofanya kupita hata mie nilie hapa nchini.
 
Hivi ulitegemea nini kama jina lako? Serikali hiyo hiyo haitaki wananchi wasikilize kinachoendelea bungeni, serikali hiyo hiyo inapiga vita magazeti yasiwafikie wananchi, serikali hiyo hiyo hiyo haitaki ikosolewe, serikali hiyo hiyo haitaki demokrasia ishamiri, serikali hiyo hiyo imepiga marufuku mikutano ya kisiasa (isipokuwa ya Lipumba), serikali hiyo hiyo inafungia vituo vya redio...ukipanda nyanya utavuna nyanya na si korosho.
Nina marafiki wa nchi za nje esp wa Africa wanampenda sana sana Magufuli, yaani wanafatilia anayofanya kupita hata mie nilie hapa nchini.
Marehemu Idi Amin Dada alipendwa sehemu nyingi duniani, walifuatilia sana aliyoyafanya nchini Uganda, mojawapo ikiwa ni operation mafuta mingi!
 
Kwani watumishi, wanafunzi na mikopo hewa ilikuwa contract-based? Unaweza kuingilia mikataba kama IPTL na kuivunja kichwa kichwa? Go back to class.
Putin (Rais wa Russia), aliwezaje ku'ingia' mikataba upya tena mikataba ya mafuta ikiwemo BP na Russia ikapata gawiwo linaloeleweka.?
 

Mkuu hata Hitler na Musollini hawakuwa ni wazalendo kwa Ujerumani na Italia lakini pia walikuwa ni Madikteta. Ila huyu wetu kazidi roho mbaya! Labda atakuwa Raisi wa karne kwa roho mbaya!
 

Correct
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…