Rais wa klabu ya Yanga SC ameshawakana huku

Pumbavu mtoto wa kuke kumuita mwanaume mbumbumbu,kacheze marede huko
Pimbi wewe. Mwanaume kama hana akili anaongea pumba kwa nini asiwe mbumbumbu. Isitoshe mikia wote ni mbumbumbu.
 
Kwa hersi anaijua Ahly Ila shabiki hawaijui?😁
 
Engineer Hersi akili kubwa. Sasa wewe bumunda kwa akili yako kusikia anawapamba wapinzani wake kwa kuwapumbaza ukajua maneno yanatoka kwenye ukweli?. Mashabiki wa Simba mnakuweje wengi ni mikurupuko hivyo kama mropokaji wenu?. Umekuwa mbumbumbu kiasi huelewi hata Hersi anaongea lugha gani ya kiushindani?.

Halafu cha kushangaza inakuweje nyie kenge wa red hamuwezi kutulia na timu yenu? Kutwa ni YANGA. Mnajisikiaje?
 
Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?

Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.

Uyu ni mbumbu hajui mjinga mpe cheo [emoji3][emoji3]
 

Haekewi rhetorical questions uyu bwege
 
Huyo sio mbana pumua Ahmedy Ally, alichokisema Hersi ndio uhalisia wa mpira ulivyo.... Mpira ni uwekezaji sio blablaaa za Tz. Mchezaji mmoja wa wasandawane kama Wende amenunulia zaidi ya 7B ambayo ni matumizi ya mwaka mzima ktk vilabu vyetu... Kule Aly Ahly ndio kabisa n hatarii. Kajibu kikubwa na ndio uhalisia... Yanga hatujafikia kuwa na msuli wakupambana na hawa magiant labda itokee km tunavyosema mpira unadunda.
 
Ndio maana kaliachwa.Kanamtukana mpaka baba yake anayeishi Arusha.
Mimi nimekakubali kalivyomsiliba huyo ndugu yenu, maana alitaka kuleta upopoma fulani! Kaliachwa au kenyewe ndiko kalimwacha jamaa kwa vile alikuwa hajitambui?
 
Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?

Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Pale utopoloni ni mtu 2 tu wenye akili.kaongezeka na injinia,na gamond na msigwa.wengine endeleeni kutumia dozi
 
Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?

Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Alijisemea Ally Kamwe, MJINGA MPE CHEO..!!
 
Madunduka ni mbumbumbu kabisa ndio maana timu imeuzwa pamoja na wao kwa kanjubai bila kujijua
 
Unakumbuka tambo za Ahmed Ally mapinduzi? Wengi walimwangushia jumba bovu kwamba yeye ndio kawaponza wakafungwa na Mlandege.

Maneno na tambo kabla ya mechi ni kuvichagua kwa umakini sana, unaweza kupigwa ukadhalilika.
Uto, mna hasira sana.

By the way mimi naona Eng. Hersi alisimama na kuongea kama Mwenyekiti wa Vilabu vyote Afrika.
 
Tulia wewe kolo, Ahly na uwezo wao walifungwa na bingwa wa shirikisho ambaye sisi tulimtoa jasho Usm Alger.

Halafu hii ni mechi ya waliokwisha kufuzu, hamishieni nguvu zenu kwenye kutafuta nafasi ya robo fainali tafadhali.
mbona wewe ulipigwa na ihefu,,mkuu mpira wa miguu una maajabu na hautabiriki thus why mikeka inachanika kajiongeze upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…