mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mayele kasema nyumbani kwake mlangoni kakuta mapembe ya ng'ombeNa kule makolo yote ni mambumbumbu by Aden Ismail Rage!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayele kasema nyumbani kwake mlangoni kakuta mapembe ya ng'ombeNa kule makolo yote ni mambumbumbu by Aden Ismail Rage!
Nimesoma ID yako, nikaona inafanana na alichokisema Rage..!! Yaani ni kama pipa na mfunikochura mkubwa keshasema.wwe chura mdogo nani upinge?
You said it all.Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?
Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Ajue wapi fasihi huyo?Umewahi kusoma Fasihi mkuu
Hivi mlienda shule kusomea kitu gani?
Lugha aliyoongea Bwana Hersi inafundishwa darasa la sita na darasa la saba
Usipende kuchukulia kila jambo kama lilivyo inabidi uchanganye na akili zako binafsi
Kwa hiyo Ali Kamwe akisema watu waje uwanjani bila kuvaa nguo yaani uchi wa mnyama wewe utaenda bila kuvaa nguo?
Hiyo ni fasihi mkuu,Rudi tena shule ya msingi
Mpaka aseme!Mayele kasema nyumbani kwake mlangoni kakuta mapembe ya ng'ombe
Astaghafirurah!!!Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?
Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.