Rais wa klabu ya Yanga SC ameshawakana huku

jf imekua na watu wenye akili ndogo sana kila mtu anakimbilia kuandika uzi bila kufikiri....
 
Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?

Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
You said it all.
 
Ajue wapi fasihi huyo?
 
Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?

Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Astaghafirurah!!!
National Al Ahly wachezewe "mind game" na Hersi!!???
Kweli bado naendelea kuyaona hata baada ya kukua na kuzeeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…