Rais wa marekani amempa onyo kali raisi wa Russia ,kwamba kamweasijaribu kutumia silaha za kemikali

Rais wa marekani amempa onyo kali raisi wa Russia ,kwamba kamweasijaribu kutumia silaha za kemikali

Hii kauli ya biden nikiunganisha na alichowahi sema Trump, napata picha kwamba Marekani ana Mdudu hatari sana! hatari sana kwamba atakayefanyiwa wa kwanza ataandika historia mpya hapa ulimwenguni. Nasubiri kwa hamu nishuhudie hilo pigo katika enzi za uhai wangu.
Bahati yako ipo njiani, muhimu ni kumuombea tu baba Putin amwage mboga, tushuhudie live mtanange wa mafahari…
 
Hii kauli ya biden nikiunganisha na alichowahi sema Trump, napata picha kwamba Marekani ana Mdudu hatari sana! hatari sana kwamba atakayefanyiwa wa kwanza ataandika historia mpya hapa ulimwenguni. Nasubiri kwa hamu nishuhudie hilo pigo katika enzi za uhai wangu.
Hata Mimi mkuu . Achana na USA . RUSSIA ANA MACHUMA YA KIZAMANI SANA .
 
Hii kauli ya biden nikiunganisha na alichowahi sema Trump, napata picha kwamba Marekani ana Mdudu hatari sana! hatari sana kwamba atakayefanyiwa wa kwanza ataandika historia mpya hapa ulimwenguni. Nasubiri kwa hamu nishuhudie hilo pigo katika enzi za uhai wangu.
Huyu jamaa ana mdudu zaid ya nyuklia ndio maana atakayejichanganya atakua wa kwanza kutolewa bikira
 
Wauane huko huko watuachie Africa yetu!
Yaani kwa mawazo yako unaweza fikiria hivyo?!!yaani USA, na URUSI, Wauane wewe MATONYA, usiathirike?
Haiwezi tokea, lazima uchakae tu.
 
Endeleeni kubwanwaja ila donbass ndo ishapotea hivyo haitarudi Ukraine ng'o!!'
 
Pro NATO A.K.A WAIMBA TAARABU NA SINGELI... [emoji23]
Kuna waimba singel kuliko Pro Russia kweli. " Demilitalization and Denazification",mkafail,mkahamia Special OP ya 72 hrs, ikafail,mkahamia Kyiv inaenda kuwa majivu baada ya lile li msafara la 60kms mkafail. Atakaeisaidia Ukraine silaha atakiona cha moto,silaha zikapelekwa na Boss wenu akaufyata mkia.Mkahamia Sweden na Finland msithubutu kujiunga na NATO,wakasonga mbele na process za kujiunga na NATO na Boss wenu akaufyata tena and the list goes on.Mlipaswa muwe mmeshatoa kabisa album
 
Back
Top Bottom