Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Bahati yako ipo njiani, muhimu ni kumuombea tu baba Putin amwage mboga, tushuhudie live mtanange wa mafahari…Hii kauli ya biden nikiunganisha na alichowahi sema Trump, napata picha kwamba Marekani ana Mdudu hatari sana! hatari sana kwamba atakayefanyiwa wa kwanza ataandika historia mpya hapa ulimwenguni. Nasubiri kwa hamu nishuhudie hilo pigo katika enzi za uhai wangu.
Hata Mimi mkuu . Achana na USA . RUSSIA ANA MACHUMA YA KIZAMANI SANA .Hii kauli ya biden nikiunganisha na alichowahi sema Trump, napata picha kwamba Marekani ana Mdudu hatari sana! hatari sana kwamba atakayefanyiwa wa kwanza ataandika historia mpya hapa ulimwenguni. Nasubiri kwa hamu nishuhudie hilo pigo katika enzi za uhai wangu.
Huyu jamaa ana mdudu zaid ya nyuklia ndio maana atakayejichanganya atakua wa kwanza kutolewa bikiraHii kauli ya biden nikiunganisha na alichowahi sema Trump, napata picha kwamba Marekani ana Mdudu hatari sana! hatari sana kwamba atakayefanyiwa wa kwanza ataandika historia mpya hapa ulimwenguni. Nasubiri kwa hamu nishuhudie hilo pigo katika enzi za uhai wangu.
Himars 12 tu za Marekani zimewapa warusi kiwewe; je marekani akamua kufungulia mbwa wote itakuwaje.Jipe moyo
Ndio hapo sasa mkuuHimars 12 tu za Marekani zimewapa warusi kiwewe; je marekani akamua kufungulia mbwa wote itakuwaje.
HahahahahMarekani hana uwezo wa kuigusa Russia ataendelea kubwekabeka tu.urusi anauwezo wa kuibadilisha marekani kuwa jangwa.
🤣aiseeWanye dunia yako wameshasema....kama yeye kidume arushe hata kopo la icream lenye sumu ukraine aone kifuatacho
Jaribuni
Hata mie nilidhani kitanuka lakini kimyaaaSiku spika Pelosi alipotua Taiwan ndio nilijua nguvu ya USA.
China aliufyata fyaaa!
Ameingia ila cha moto anakionaKwani saa hii Putin anafanya nini!? Si aliambiwa asithubutu kuingia Ukraine!?
Yaani kwa mawazo yako unaweza fikiria hivyo?!!yaani USA, na URUSI, Wauane wewe MATONYA, usiathirike?Wauane huko huko watuachie Africa yetu!
Wapi sasa mkuu?!!kwani hata leo hii anatamani kuikimbia ukraine ila anawaonea aibu nyie ma pro Russia wa Buza!mtaweka wapi sura zenu, ndio maana Biden amemuonya kwani anaweza amua kutumia silaha za kemikali kwani kwingine huko ameshashindwa!!!
Na marekani anaweza kuibadilisha Russia kuwa kipere na akakitumbua chapMarekani hana uwezo wa kuigusa Russia ataendelea kubwekabeka tu.urusi anauwezo wa kuibadilisha marekani kuwa jangwa.
Team dictatorship wanajifanya kusahau.Siku spika Pelosi alipotua Taiwan ndio nilijua nguvu ya USA.
China aliufyata fyaaa!
Kuna waimba singel kuliko Pro Russia kweli. " Demilitalization and Denazification",mkafail,mkahamia Special OP ya 72 hrs, ikafail,mkahamia Kyiv inaenda kuwa majivu baada ya lile li msafara la 60kms mkafail. Atakaeisaidia Ukraine silaha atakiona cha moto,silaha zikapelekwa na Boss wenu akaufyata mkia.Mkahamia Sweden na Finland msithubutu kujiunga na NATO,wakasonga mbele na process za kujiunga na NATO na Boss wenu akaufyata tena and the list goes on.Mlipaswa muwe mmeshatoa kabisa albumPro NATO A.K.A WAIMBA TAARABU NA SINGELI... [emoji23]