Rais wa Marekani Donald trump aagiza bendera zote za upinde kushushwa

Yaani kwa mfano hao lesbians (wasagaji) wanafanyiwa ukatili gani wakiwa watoto, wanasagwa au?
Ndio wanasagwa nishashuhudia case km hizo nyingi, na wakibobea wanatafuta na wao wengine wa kuwafundisha..!!
Hakuna binti anayeibuka ghafla anataka kusagwa bila kufundishwa..!!

Mimi kuna mmoja aliniletea michezo nilikataa sababu nilikuwa binti ambaye tayari nilikuwa na ufahamu vinginevyo ningekuwa mdogo ningeona ni sawa..!!
 
Ok.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…