Rais wa Marekani Donald trump aagiza bendera zote za upinde kushushwa

Rais wa Marekani Donald trump aagiza bendera zote za upinde kushushwa

Mbona hata wewe ulimbaka malaya ukamhonga pesa..

Usiniulize nilikuwepo, nimesikia kama wewe ulivyosoma habari za Trump.
Ni kweli.

Huo ni ukichaa, hata mimi naweza kuwa kichaa kama Mgaufuli au Trump.

Kuwa kwangu kichaa, haimaanishi kwamba natakiwa kukanusha ukichaa wa Magufuli au Trump.

Trump ni mwehu, Trust me, na ataigharimu sana dunia. Kichaa kapewa rungu.
 
hiyo LGBT ina shida gani hadi hadi raisi wa nchi apoteze muda kuizungumzia? Inapunguza sh ngapi kwenye pato la taifa?
 
Hawa watu wa LGBTQ wana backup kubwa sana. Trump awe makini sana sanaa
Yaani unasimama kabisa kusema eti ''mwanamke kwa mwanamke wasigusishiane vinembe'' ! Hivi hiyo ni akili timamu kweli? Umekosa kabisa vitu vya kuzungumzia?
 
Ikiwa ni mwendelezo wake juu ya kupinga masuala ya wanaharakati wa LGBTQ+ amepiga marufuku bendera za upinde kuendelea kupepea.

Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.
Real?
 
Huyo raisi ni mwehu, miaka minne atakayokaa madarakani ataivuruga sana Marekani na dunia kwa ujumla.

Ni kama Tanzania ilivyotawaliwa na Magufuli, mental disease!
Mashoga mmeanza kujitokeza.
 
Mkuu Castr kuna mambo yanashangaza kwa mtu mwenye akili timamu.

Au hii inakuwaje? Hivi hoja ya ushoga ni hoja yq mtu mwenye akili timamu kuizungumza?

Hivi unapata wapi uhalali wa kuzungumzia mambo wanayofanya watu vyumbani mwao? Yaani uwapangie watu wakiwa kitandani waingize wapi! Hiyo inaingia akilini?

Kitu kimoja kipo wazi,

Trump ni mwehu.
ERoni, mtu akiwa shoga au msagaji wewe unapungukiwa nini?

Yaani kweli mkuu wa nchi azungumzie waanawake kugusishiana vinembe(kusagana), eti ndio hoja! Mbona huu ni uwendawazimu.

Mmmh, ila na mimi kuongelea uwendawazimu nao ni uwendawazimu, hebu nifanye mambo mengine!
Vipi kijana wako akiwa shoga, utaumia wapi mkuu?
 
Kwahiyo kafuta ushoga au mnatoa sifa za kipuuzi?
Sidhani kama kuna mtu ambae anaweza kutokomeza ushoga, ni vile anazuia kujitangaza na kuupromote. Kama mtu ni shoga abaki na ushoga wake ndani yake yeye mwenyewe.
 
Ushoga umeanzia mbali sana tangu enzi za "YESU" na kabla ya "YESU" na hata YESU wanadai alikuwa ni undercover gay yaani shoga wa sirini.
 
Ni kweli.

Huo ni ukichaa, hata mimi naweza kuwa kichaa kama Mgaufuli au Trump.

Kuwa kwangu kichaa, haimaanishi kwamba natakiwa kukanusha ukichaa wa Magufuli au Trump.

Trump ni mwehu, Trust me, na ataigharimu sana dunia. Kichaa kapewa rungu.
Sijakataa, kila mtu huwa na kichaa chake. Wengine kutafuta pesa, starehe, mademu, kudanga, kusali, kujilipua na mabomu. Ukichaa ni kuwa nje ya uwezo wa kuisimamia akili kutenda kile wengi wanategemea utatenda kwa muelekeo au manufaa ya kijamii.

Suala la Trump linakuja..
1. Anaonekana kichaa vile mipango yake anaiweka hadharani yeye mwenyewe na kuitekeleza. Asingesema kabla ya kuitekeleza kama watangulizi wake Demokrati, na akatekeleza kimyakimya kupitia wasaidizi wake pengine akatangaza msemaji wa Ikulu, Trump asingeonekana kichaa..

2. Hebu tujiulize, ametawala miaka minne kabla, aliigharim kitu gani dunia tofauti na haya yaliyofanywa na waLiberali wa kidemokrasia ya Biden. Ukilinganisha kichaa cha Biden na Trump ni kipi kipo juu ya kingine?
 
Mkuu Castr kuna mambo yanashangaza kwa mtu mwenye akili timamu.

Au hii inakuwaje? Hivi hoja ya ushoga ni hoja yq mtu mwenye akili timamu kuizungumza?

Hivi unapata wapi uhalali wa kuzungumzia mambo wanayofanya watu vyumbani mwao? Yaani uwapangie watu wakiwa kitandani waingize wapi! Hiyo inaingia akilini?

Kitu kimoja kipo wazi,

Trump ni mwehu.
ERoni, mtu akiwa shoga au msagaji wewe unapungukiwa nini?

Yaani kweli mkuu wa nchi azungumzie waanawake kugusishiana vinembe(kusagana), eti ndio hoja! Mbona huu ni uwendawazimu.

Mmmh, ila na mimi kuongelea uwendawazimu nao ni uwendawazimu, hebu nifanye mambo mengine!
Tifuaneni mitalo huko kwenye vyumba vyenu ila msituletee mabendera yenu ili kututangazia ufala wenu...pumbavu nyie
 
1000176244.jpg
bado picha ya mudi akinyonya tupu za wanaume wenzake subiri inakuja
 
Huyu jamaa ni Magufuli mweupe ovaaaa.

Mnakumbuka magu alivyoapishwa tu aliwaibukia benki kuu tena kwa miguu tu,

Imagine upo ofisini kwako(bot) let's say labda unachungulia porno kidogo kwenye PC ya ofisi, ile kunyanyua macho ucheki soo, unajikuta uso kwa uso na magu.(hiiiiiiiiiiiii bhagooosha)

Mie niliendaga ubalozi wa marekani ile nakunja kona, nakutana uso kwa uso na sanamu la Obama linanichekea aseeee nilishtuka ile mbaya, nilidhani nimekutana na Obama live kwenye korido.

Inabidi museveni afanye mpango wa kumpa tuzo Trump.

Mie nadhani deep state walimtoa Trump kipindi kile wakamuweka kiporo/bench wakijua watamrudisha baadae coz ni kama walijua dunia itakuja kuchangamka na kuhitaji mtu mwenye maamuzi magumu kama DT.

We angalia China anaitaka Taiwan, mrusi anaitaka Ukraine, Malawi wanaitaka mbeya halafu marekani ndio alikua mzembe, si unaona tu Trump kuingia ametangaza anaitaka suez canal na green land, hii sio bahati mbaya

Lile li askofu juzi liliongea pumba tu pale kanisani kuhusu mashoga, ukiangalia body language ya Trump na makamuu wake ni kama walimaind dizain flani, ila waliamua kuwa wavumilivu sababu ni kanisani.

Angekua mtu kama magu, angeomba mic akampa za uso pale pale.

Ccm wapepeze bendera, CHADEMA wapepeze bendera, mashoga wapepeze bendera, singo maza wapepeze bendera, KATAA NDOA NA SISI TUPEPEZE BENDERA, si itakua kama vipepeo sasa. Bendera ya taifa tu inatosha.
Tanzania mbona hamuko wazi kuhusu sera yenu na LGBTQ mnasemea juu juu tu, tungeni sheria kama mnaweza hao kina magu wote walisapoti LGBTQ nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom