Rais wa Marekani Donald trump aagiza bendera zote za upinde kushushwa

Rais wa Marekani Donald trump aagiza bendera zote za upinde kushushwa

Ikiwa ni mwendelezo wake juu ya kupinga masuala ya wanaharakati wa LGBTQ+ amepiga marufuku bendera za upinde kuendelea kupepea.

Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.
Jamaa ana akili Sana
 

Attachments

  • 20250123_214027.jpg
    20250123_214027.jpg
    139.6 KB · Views: 2
  • 20250123_214045.jpg
    20250123_214045.jpg
    57.8 KB · Views: 2
Ikiwa ni mwendelezo wake juu ya kupinga masuala ya wanaharakati wa LGBTQ+ amepiga marufuku bendera za upinde kuendelea kupepea.

Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.
Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.💪🏿👌🏿
 
Back
Top Bottom