BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Hilo zee nalo lishaanza kuchanganyikiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau serikali ya jiwe ilivyomkana makonda?Safi sana tunahitaji maoni ya Tundu lissu juu ya bendera za wateja wake kushushwa!
PAPA wa wakatoliki ana maoni gani?Tunashukuru netanyanhu anafanya kazi ya kitume pale middle east
Mbona huyoo kama ayatollah??
WanaumiaTaratibu wanajitokeza
Ni yeyeMbona huyoo kama ayatollah??
Njoo chumbani kumenogaNice
Jamaa ana akili SanaIkiwa ni mwendelezo wake juu ya kupinga masuala ya wanaharakati wa LGBTQ+ amepiga marufuku bendera za upinde kuendelea kupepea.
Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.
🤣🤣🤣🤣Ni yeye
Kituuuuu
KituuuuuView attachment 3211752
Ayatollah khamenei
Mwamba unapicha moja ambayo hujui hata source yake,picha ya kutengeneza, mimi naleta za kutosha na source.
Mwamba unapicha moja ambayo hujui hata source yake,picha kutengeneza mimi naleta za kutosha.
Tulia dawa ikuingie
Tulia dawa ikuingie
Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.💪🏿👌🏿Ikiwa ni mwendelezo wake juu ya kupinga masuala ya wanaharakati wa LGBTQ+ amepiga marufuku bendera za upinde kuendelea kupepea.
Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.