Mental Ability
Member
- Oct 26, 2024
- 28
- 16
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe mbona kama wale wa mshale? Au wenzako?Huyo raisi ni mwehu, miaka minne atakayokaa madarakani ataivuruga sana Marekani na dunia kwa ujumla.
Ni kama Tanzania ilivyotawaliwa na Magufuli, mental disease! Mbona
Wakili wa upinde ni tundu lissu anajulikana nyingine ni porojo!Umesahau serikali ya jiwe ilivyomkana makonda?
unakosea zingatia neno bendera ya taifa kulinda haki zote za raiaSafi sana tunahitaji maoni ya Tundu lissu juu ya bendera za wateja wake kushushwa!
Hapa nchini wakili ni Tundu lissu akisaidiana na mariah sarungi na ulaya ni robert amsterdam hizo nyingine hazijulikani!Kamuulize Aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo waliomwandikia Makonda Barua ya Onyo akikemea ushoga.
Nenda dodoma
Tunasubiri maoni ya Tundu lissu!unakosea zingatia neno bendera ya taifa kulinda haki zote za raia
Pia LISu hajawahi sema anaukubali ushoga isipokuwa katiba ya Tz inalinda faragha za watanzania,kama ndani ya faragha zao au ndani ya Kuta zanyumba zao hufilana hilo jambo jingine
usisubilie LISU ,nikwamba bendera ya taifa la Tanzania na katiba ya Tanzania inatosha kulinda na kutangaza utu wa watanzaniaTunasubiri maoni ya Tundu lissu!
Tundu yeye msimamo wake ni kama wa huyu:-Tunasubiri maoni ya Tundu lissu!
Member upo? Huna ht haya?Huyo raisi ni mwehu, miaka minne atakayokaa madarakani ataivuruga sana Marekani na dunia kwa ujumla.
Ni kama Tanzania ilivyotawaliwa na Magufuli, mental disease!
Umepigaje hapo? 😂😂
Taratibu wanajitokeza
Mkuu Castr kuna mambo yanashangaza kwa mtu mwenye akili timamu.Kama nimeelewa vizuri ni kwamba hajakataa uwepo wao ila amegomea bendera.
Pamoja na wehu wake, kuna mambo atayanyoosha hata nchi za kiafrika itabidi akili ziwakae sawa, tuna kila aina za utajiri ila tunategemea misaada ya masharti ya ushoga, wacha anyooshe dunia akili itukae sawa......Huyo raisi ni mwehu, miaka minne atakayokaa madarakani ataivuruga sana Marekani na dunia kwa ujumla.
Ni kama Tanzania ilivyotawaliwa na Magufuli, mental disease!
Akili zitakaa sawa tu muimba taarabu atapunguza mate matembezi mara misiba mara kujenga mahusiano mara kuigiza atavoona watu wake wanaanza kunyonyoka nywele kama zamani maana ARV za bure karibia zinaanza kukosaTrump anapiga kwenye mshono
Mkuu hii kweli au?. Najua jamaa wanasema lake Tanganyika ni ila hii ya Mbeya ndio kwanza nakusoma hapaMalawi wanaitaka mbeya
Mmh, mbona unaniangusha ndugu yangu, wewe si tulikuwa wote kupinga ubakaji wa watoto wa miaka 9 au nimechanganya ID?