Rais wa Marekani Donald trump aagiza bendera zote za upinde kushushwa

Rais wa Marekani Donald trump aagiza bendera zote za upinde kushushwa

Pokea vitu vingine
 

Attachments

  • Screenshot_20250123-221019.png
    Screenshot_20250123-221019.png
    854.9 KB · Views: 4
Safi sana tunahitaji maoni ya Tundu lissu juu ya bendera za wateja wake kushushwa!
unakosea zingatia neno bendera ya taifa kulinda haki zote za raia

Pia LISu hajawahi sema anaukubali ushoga isipokuwa katiba ya Tz inalinda faragha za watanzania,kama ndani ya faragha zao au ndani ya Kuta zanyumba zao hufilana hilo jambo jingine
 
Kamuulize Aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo waliomwandikia Makonda Barua ya Onyo akikemea ushoga.
Nenda dodoma
Hapa nchini wakili ni Tundu lissu akisaidiana na mariah sarungi na ulaya ni robert amsterdam hizo nyingine hazijulikani!
 
unakosea zingatia neno bendera ya taifa kulinda haki zote za raia

Pia LISu hajawahi sema anaukubali ushoga isipokuwa katiba ya Tz inalinda faragha za watanzania,kama ndani ya faragha zao au ndani ya Kuta zanyumba zao hufilana hilo jambo jingine
Tunasubiri maoni ya Tundu lissu!
 
Taratibu wanajitokeza
Kama nimeelewa vizuri ni kwamba hajakataa uwepo wao ila amegomea bendera.
Mkuu Castr kuna mambo yanashangaza kwa mtu mwenye akili timamu.

Au hii inakuwaje? Hivi hoja ya ushoga ni hoja yq mtu mwenye akili timamu kuizungumza?

Hivi unapata wapi uhalali wa kuzungumzia mambo wanayofanya watu vyumbani mwao? Yaani uwapangie watu wakiwa kitandani waingize wapi! Hiyo inaingia akilini?

Kitu kimoja kipo wazi,

Trump ni mwehu.
ERoni, mtu akiwa shoga au msagaji wewe unapungukiwa nini?

Yaani kweli mkuu wa nchi azungumzie waanawake kugusishiana vinembe(kusagana), eti ndio hoja! Mbona huu ni uwendawazimu.

Mmmh, ila na mimi kuongelea uwendawazimu nao ni uwendawazimu, hebu nifanye mambo mengine!
 
Huyo raisi ni mwehu, miaka minne atakayokaa madarakani ataivuruga sana Marekani na dunia kwa ujumla.

Ni kama Tanzania ilivyotawaliwa na Magufuli, mental disease!
Pamoja na wehu wake, kuna mambo atayanyoosha hata nchi za kiafrika itabidi akili ziwakae sawa, tuna kila aina za utajiri ila tunategemea misaada ya masharti ya ushoga, wacha anyooshe dunia akili itukae sawa......
 
Trump anapiga kwenye mshono
Akili zitakaa sawa tu muimba taarabu atapunguza mate matembezi mara misiba mara kujenga mahusiano mara kuigiza atavoona watu wake wanaanza kunyonyoka nywele kama zamani maana ARV za bure karibia zinaanza kukosa
 
Trump ana ile udikteta flan hv kama wa JPM ila huwezi kusikia kelele mana ile n USA 😂
 
Back
Top Bottom