Lazima wainyenyekee maana uchumi wa USA kwa asilimia kubwa unashikiliwa na wahuni waliojipa Utukufu dunian wa kuamua mambo yawe vipi.
Utabishana vip na anayecontrol uchumi, media na kila kitu?, karibu kila secta,kampuni na institutes kubwa dunian zinamilikiwa na hao jamaa (wayahudi).
Watu wanadhani kwamba USA inaitetea israel kwa upendo tu, wala hakuna jambo kama hilo, ingekuwa hivyo basi USA ingewatetea raia wake wanaouana nchini mwake kwa umiliki haramu wa siraha, na kukomesha magenge ya uhalifu.
Lkn why israel? Jibu ni kuwa wanapata sababu ya kuicontrol middle east kupitia ilo taifa bandia, wanacontrol muenendo wa resources ya mafuta hapo middle east ambayo kwa asilimia kubwa mafuta hayo yanauzika dunia nzima, kucontrol nguvu ya kidola dhidi ya upinzani wa mwarabu&muajemi.
pia israel kuwepo hapo ni faida kwa maendeleo ya kipropaganda kwa kuwacontrol slaves wao ambao bado wanaamini ktk dini haswa zinazohusiana na chimbuko la ibrahimu.
Kiufupi hao jamaa hawatoondoka hapo leo wala kesho maana plan zao ni kuongeza ukubwa wa nchi yao kwa njia yoyote ile, na sasa ni mwanzo tu, wataibua kila chokochoko mpaka watimize watakalo, na wanaweza maana hakuna mtetezi dunian, wala hakuna wa kuwapinga kivitendo, zaidi ya unafiki wa wanasiasa.
Israel ni taifa bandia la baadhi ya makabila ya wazungu waliohamisha jamii zao kutoka ulaya kuja Middle east kwa madhumuni yao, hawahusian na biblia wala quran, msidanganywe.
Umepuyanga kwa vile una kisirani chako. Israel ni nchi ya Wayahudi, haijawahi kutokea nchi inaitwa Palestina. Ushahidi huu hapa:-
1. Kabla ya Israel kuwekwa pale mwaka 1948 kulikuwa na utawala wa kikoloni wa Uingereza (British Mandate), hii haikuwa Taifa la Palestina
2. Kabla ya Ukoloni wa Mwingereza mwaka 1917 kulikuwa utawala wa Dola ya Ottoman, hii pia haikuwa Palestina
.
3. Mamluks wa kutoka Misri walitawala eneo hilo kabla ya Dola ya Ottoman kati ya mwaka 1249-1517, hii haikuwa Palestina
4. Kabla ya ujio wa Mamluk wa Misri eneo hilo lilikuwa chini ya utawala wa dola ya Kikurdi ya Ayubid-Arab kuanzia 1169-1260, hii pia haikuwa Palestina
5. Kablabya Dola ya Ayubid kukikuwa utawala wa Frankish, hii pia haikuwa Palestina
.
6. Kati ya mwaka 750- 1177 eneo hilo lilikuwa chini ya utawala Umayyad na Fatmid, hawa nao hawakuwa wa Palestina
7. Dola ya Byzantine ilitawala eneo hili kuanzia mwaka 313- 636, hawa hawakuwa wa Palestina
8. Kabla ya dola ya Byzantine eneo hili lilitawaliwa na wa Sassanids kuanzia mwaka 602-628, hii haikuwa Palestina
9. Kabla ya Dola ya Sassanids kulikuwa na Dola ya Byzantine tena, hii haikuwa Palestina
10. Kabla ya Dola ya Byzantine kulikuwa na Dola ya Kirumi kuanzia mwaka 63 BC - 336 AD, hii haikuwa Palestina
11. Kabla ya Dola ya Kirumi kulikuwa na utawala wa Hasmonean kuanzia mwaka 140 BC- 37BC, hawa walikuwa Wagiriki siyo Palestina
12. Kabla ya Hasmonean kulikuwa na Dola ya Seleucid kuanzia mwaka 198 BC- 135 BC, hawa walikuwa Wagiriki siyo Palestina
13. Kabla ya Seleucid eneo hili lilitawaliwa na Dola Alexander The Great kuanzia mwaka 330 BC- 315 BC
14. Kabla ya Alexander The Great eneo hilo lilikuwa chini ya Dola ya Persia kuanzia 545 BCE- 538. BCE
15. Kabla ya Dola ya Persia eneo hilo lilikuwa chini ya utawala wa Dola ya Babylon kuanzia 597 BC- 539 BC, hawa walitoka Iraq ya sasa na hawakuwa wa Palestina
16. Kabla Dola ya Babylon haijaivamia Jerusalem ilikuwa chini ya himaya 2 za Israel na Yuda kuanzia mwaka 722 BC, hizi hazikuwa Palestina
17. Kabla ya Utawala wa Israel na Yuda kulikuwa na utawala wa Israel 930 BC, hii haikuwa Palestina
18. Kabla ya Israel kulikuwa utawala wa makabila 12 ya wana wa Yakobo ambao ndiyo Israel, ndiyo kipindi cha Mfalme Saul, hii haikuwa Palestina.
19. Kabla ya makabila 12 kulikuwa utawala wa dola ndogo ndogo za Caanan, nayo haikuwa Palestina