haya bwana
Member
- Mar 15, 2020
- 69
- 122
Hata mimi naona ivo alianza na Uhuru Kenyatta na Raila Odinga sasa kaja na Msumbiji inaelekea anataka Ikulu ihamie Chato.
Nina uhakika kabla hajamaliza mda wake makao makuu wa mkoa wa Geita yatahamia Chato, Geita itabaki kuwa Wilaya
Tatizo la nchi hii ni katiba mbovu inayomuumba mutu wakusifiwa na kuabudiwa bila kuhojiwa actions zake [emoji102][emoji120]Kujenga hospitali ya kanda ni jambo jema.. lakini je kanda ya ziwa inahitaji hospitali ya kanda kwa sasa.
Kanda ya ziwa tayari ina hopsitali ya kanda iliyo mwanza japo si ya serikali.
Kanda ya magharibi kwa mikoa ya tabora, kigoma, rukwa na katavi haina hospitali ya kanda kwa sasa.
Kinacho onekana ni matumizi mabaya ya fedha ni priority kitaifa na si chato.
Kuna vitu vinalazimishwa vionekane vipo kihalali.
Kuna mdau aliwahi ulizwa, kama Geita ambayo ndio makao makuu ya mkoa hakuna eneo la kujenga airport?
Na ukimwuliza mzee anakwambia ni wizara ya afya ndio imelazimisha hospitali ijengwe chato.
Lakini kwa kuwa ni facility ya kuhudumia watu, ni jambo zuri tuu
Kwa kweli,naomba awe wa safari hii Tanga au Mkoa mwingine ambao haujatoa Rais duuuYaani tuombe Mungu ajae awe mzaliwa wa Kinondoni. Walau palishajengwa.
wewe mataga lini mnaanza kugawa bima afya bure kwa kila mtanzania?VIVA MAGUFULI HONGERA KWA KUBORESHA MAHUSIANO YA KIMATAIFA. HALAFU WAJINGA WANAOJIITA UPINZANI WALETE FYOKOFYOKO ETI TUNAISHI NA MAJIRANI VIBAYA.
Halafu ana bahati sana ya kupigiwa simu na wageni wanaotaka Kuja Tz. Daah! Siyo kawaida. Communication nzuri ni ya two way na siyo one way tuuu.Hivi Rais anatembelewaje nyumbni keske ziara ya kikazi?? si angeahirisha mapumziko akampokea mgeni wake Ikulu theni mgeni akiondoka anarudi kwenye mapumziko yake?? huyu jamaa mi huwa simuelewi kabisa hatukuyaona huko nyuma.
Rais wa Musunbiji na Mwenyekiti wa Sadc anahusikaje kuweka jiwe la msingi hospitali ambato haikujengwa kwa msaada wa sadc au Msumbiji??
Huyu jamaa anatuchota sana akili haiwezekani ziara ya kitaifa ifanyikie nyumbani kwa mkuu wa nchi, HAIWEZEKANI!!!!!!Halafu ana bahati sana ya kupigiwa simu na wageni wanaotaka Kuja Tz. Daah! Siyo kawaida. Communication nzuri ni ya two way na siyo one way tuuu.
Mobutu Seseko huyu!Bob nyumbani kwanza mambo mengine badaye
Angalau yeye hajaonesha ubinafsi kwao
Ila kna wengine wako kwenye nafasi hawapakumbuki kwao
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sio Kitenge cha Vituo Maalum Kanali Ibuge anavaa gwanda za JW acheni kuchanganya mambo wakuuKama amevaa gwanda ni PSU.
Nawewe zindua kwenu si ni rais wa majunguSafari hii kila mtu ataijua Chato kinagaubaga daaadeki...kila siku vitu vinazinduliwa
Magufuli ana allergy na DSM na maeneo mengine ya mijini, sasa kwanini yale majengo mapya ya wizara kule Dodoma wasingeyajenga Chato ili jamaa yetu awe na amani zaidi?
Mtakoma miaka mitano hii si hamna cha kufanya bwana mmekalia umbea,!!okHela za kuongeza mishahara na kulipa madeni ya watumishi hazipo, ila za kuendeleza Chato, zipo!!
Pathetic!
Ndiyo manake hakuna jinsiMobutu Seseko huyu!
So akiingia Rais mwingine afanye hivi hivi nyumbani kwao?
bora wewe unashukurani.Mkuu, jinyonge kabisa. Sisi huku kusini tunampenda sana katujengea hospitali ya kanda pale Mitengo, soko lakisasa pale Chuno, kapanua bandari ya Mtwara, kapanua uwanja wetu wa ndege na kufunga rada, barabara ya Mtwara - Tandahimba - Newala inaendelea kujengwa kwa kiwango cha lami, zoezi la kusambaza gas mitaani linaendelea, katujengea na kukarabati shule zetu nk. Huko nyuma hatukuyaona haya kusini