Ni makosa makubwa kuendeleza kanda moja na nyingine ikasahaulika, ki Taifa, ni kosa kubwa, lakini je, ni kweli kanda ya ziwa ilikuwa imesahaulika sana?
Inasadikika kuwa, Watu kutoka kanda hiyo, ilikuwa ni vigumu kufaulu kutoka Standard 7 na kuingia secondary, hii ni Kwa sababu ya uwoga wa watawala eti kwamba, hao jamaa Kwa kuwa ni wengi mno! Wataleta shida! Na za chini chini ni kwamba, ilikuwa wasipewe Uongozi wa juu kitaifa, Kwa sababu zao wanazozijua wenyewe!
Ajabu ilikuwa, mtu huyohuyo aliyekuwa akifeli huko kwao, akija kurudia kanda ya Kati, anakuwa mwanafunzi daraja A"
Je hayo Ni ya kweli ATI?
Watu mnaotoka huko ni ya kweli hayo