TANZIA Rais wa Namibia, Hage Geingob afariki Dunia

TANZIA Rais wa Namibia, Hage Geingob afariki Dunia

Mwaka 2014 alidhihirisha alivyowahi kutibiwa prostate cancer.

Mwaka 2015 akagombea, unaona ambavyo hakuficha historia ya afya yake kisa atakuja kugombea. Hakuongopa kwamba ni mzima hajawahi kuwa na shida.

January mwaka huu tukaambiwa anaumwa, anaumwa nini, amefanyiwa operation gani, bado tatizo gani na ataenda Marekani lini.

Wakati huo chama kimeishamtangaza mgombea wa kuwania kiti kwenye uchaguzi wa November, bado tupo February.

Si mnaona wenzetu mambo yao yalivyonyooka. Sisi kupata mgombea fujo kama tumekurupushwa, Rais kuumwa ni uchuro, mgombea mtarajiwa huwa hajawahi umwa na press up anapiga (kumbe aliwahi pelekwa hadi Uingereza kwenye matibabu ya moyo). Tafrani tu.

Apumzike kwa amani!
 
Poleni sana wa Namibia ila ukweli unasaidia sana taifa halitakuwa na taharuki 7bu mliwaandaa kiseikorojia kuwa anaweza kupona ama asipone RIP😭😭
 
Apumzike Kwa amani

Nje ya mada!
Kule hawana ujuzi wa kuficha taarifa kuanzia ugonjwa hadi kifo?
 
View attachment 2893582

Namibia imempoteza Rais wake, Hage Geingob ambaye amefariki Dunia wakati akiendelea na matibabu ya Saratani hospitalini katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Windhoek.

Taarifa ya Makamu wa Rais wa Namibia, Nangolo Mbumba imeeleza kuwa msiba huo umetokea usiku wa kuamkia leo Februari 4, 2024.

Geingob aliweka wazi kuwa anasumbuliwa na saratani mwezi Januari 2024


==========

Namibia's President Hage Geingob has died while receiving medical treatment at a hospital in the capital, Windhoek.

Vice-President Nangolo Mbumba announced that Mr Geingob had died in the early hours of Sunday morning.

"At his side was his dear wife Madame Monica Geingos and his children," Mr Mbumba said in a statement.

The 82-old leader had been diagnosed with cancer and revealed his diagnosis to the public last month.

His office announced he would be travelling to the US for treatment, but would return to Namibia on 2 February.

Mr Geingob became president in 2015 and was serving his second and final term in office.

He underwent an aortic operation last year, and in 2014 he revealed that he had survived prostate cancer.

Namibia is due to hold presidential and parliamentary elections in November.
The governing Swapo party, which has been in power since independence in 1990, has chosen Mrs Nandi-Ndaitwah as its presidential candidate.

She is currently also Namibia's deputy prime minister, and will become the country's first female president if she wins.

Source: BBC
kama hakua dictator, basi Mungu ampokee kwenye utukufu wake.

kama alikuwa dictator......................jazeni wenyewe johnthebaptist
 
Back
Top Bottom