Bado tu unaendelea kuumia!!Nyie makolo mtauza bandari kwa hadaa kidogo tu.
Kunywa maji mengi sanaEndelea kujitekenya ukoloni
Unyama ni mwingiPole sana mkuu
Na nini?Bado tu unaendelea kuumia!!
Unyama mwingiNa nini?
Ni vile hakutaja fainali mlizofika, lile lilikuwa kombe la mafuta la tajiri wa Nigeria aliyekuwa anaitwa Moshood Abiola.Katika hotuba yake kwenye siku ya Simba Day 06 Aug 2023, Rais wa Nchi Mama Samiah Suluhu amesema anafahamu tulifika Fainali Michuano ya CAF mwaka 1993 na Robo fainali Msimu ulioisha.
Sasa wewe Uto endelea kubisha na kuita sijui Abiola Cup. Kwanza unaweza kushitakiwa kwa uhainin Kwa kuonekana unaendana kinyume na matakwa ya Rais
Unyama mwingi
Mashabiki wa Yanga ni kama mambwa yanabweka ovyo ovyo by Lucy Emeilyunyama gani, umbweha mwingi.
Mbumbumbu fc, Rage ajengewe sanamu.Mashabiki wa Yanga ni kama mambwa yanabweka ovyo ovyo by Lucy Emeily
Mbumbumbu ni mtu ila Mbwa sio mtuMbumbumbu fc, Rage ajengewe sanamu.
Akitaja mwaka inajulikana tu ni kombe lipiNi vile hakutaja fainali mlizofika, lile lilikuwa kombe la mafuta la tajiri wa Nigeria aliyekuwa anaitwa Moshood Abiola.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Yaah wote watajengewaNa Luc Eymael pia
Rage ajengewe sanamu, sasa mbwa anaweza kutype??Mbumbumbu ni mtu ila Mbwa sio mtu
Hata luc aliwaita mambumbu hamjui mpira mnazomea tuYaah wote watajengewa
Huyo luc alikua anajua kiswahili?? Nipe tafsiri ya mbumbumbu kwa kimombo.Hata luc aliwaita mambumbu hamjui mpira mnazomea tu