Rais wa nchi analipwa shilingi ngapi kwa mwezi?

Rais wa nchi analipwa shilingi ngapi kwa mwezi?

atakua analipwa hela ndogo sana ndiomaana anakimbizana na posho huko angani kila siku na leo hii yuko Nigeria yaani nchi ikiongozwa na wanawake ni shida sana akili yake ndio imefikia mwisho wa kufikiri anaona bora apige posho tu maana hana alternative nyingine ya kupata hela, marais wa vijinchi vyetu masikini sana hivi ni shida sana.
 
Back
Top Bottom