Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Jamaa huwa ana connected patterns katika information zake. I credit her. Ukimfuatilia vizuri na taratibu utajuaWanaweza kukubeza Ila we ni informer mzur
Support ipi tena anahitaji? Katiba imeshampa Support sasa Kitu gani tena anahitaji? Kodi tunalipa na mshahara analipwa. Nini tena cha Ziada?Nisaidie wapi nilipo andika #2030 Mkuu, kamhemko kamekupata sasa.
Anyway tumpe support Mama.
Magufuli hakujuwa kama atakufa.Asingekuwa na sifa wala JPM asingempendekeza mgombea wake mwenza....wala "vetting" isingekubali apite kwani katiba inaelekeza yupi anakuwa Rais ikitokea kilichotokea......
Mh.SSH ameshakuwa RAIS....
Ndani ya muda mfupi ameamuru mwendelezo wa yafuatayo:-
1)Ujenzi wa SGR
2)Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
3)KULIENDELEZA jiji la Dodoma na ujenzi wa kiwanja cha ndege Msalato
4)Kaajiri vijana 8000(Tamisemi+Wizara ya Afya)...ilipita miaka 6 hakukuwa na ajira nyingi mpya
5)Kapandisha madaraja watumishi wa umma....ilipita miaka mingi hilo halikuonekana.....
6)Kaahidi kupandisha mishahara mwaka ujao wa fedha
7)n.k n.k
Haya niletee swali lingine la "MBANGO"......
Nina nguvu za ajabu nasikia nakuona mbali... Wala sio mtu wa idara. Trust me. Japo ni mmoja wa vijana wa wazee wakale ktk mfumo...Jamaa huwa ana connected patterns katika information zake. I credit her. Ukimfuatilia vizuri na taratibu utajua
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Tija ya kumkingia Kifua ni ipi? Mara nyingi umeandika nyuzi nilizozipenda sana lakini kwa Fikra kama hizi sijui umeingiwa na nini hasa?Ashukuriwe Kamanda Mabeyo kwa kumkingia kifua Mama wakati JPM akiwa keshaaga dunia. Angeweza kamanda angekuwa kama yule bonge la mtu wa Guinea.
Hivi ni kweli Mataifa Yaliyoendelea nayo yaliendelea kwa kuwa aina ya Uongozi unaoushangilia?Ashukuriwe Kamanda Mabeyo kwa kumkingia kifua Mama wakati JPM akiwa keshaaga dunia. Angeweza kamanda angekuwa kama yule bonge la mtu wa Guinea.
Wanasahau kuwa huyo JK ndiye Rais pekee aliyekuwa msoja kamili.Unaweza kuwa na ukweli ila sii kweli... JK nimoja ya kazi nzuri ya system. Nadhani JK aweza kuwa moja ya majasusi hatari kabisa yaliopikwa nakupikika kwa ajili ya kesho ya taifa hili. Tunaweza sema mengi ila mmmm huyu mzee sio wakawaida
Yaliendelea kwa kukubali katiba ilindwe, kumbuka kama sio Mabeyo basi Mama urais angeusikia tu radioni.U
Hivi ni kweli Mataifa Yaliyoendelea nayo yaliendelea kwa kuwa aina ya Uongozi unaoushangilia?
Ni kama vile humuamini Mama Samia. Ulitaka tuingie gharama mpya za kuitisha uchaguzi na kampeni zile muda wetu!.Katiba hii ya kumpa makamu wa rais nafasi ya urais inabid itazamwe upya.
Tuwe na namna ya kumpata mtu wa kutuvusha kabla ya kuelekea uchaguzi.
Lakini sio hii ya kurithi tu hiyo nafasi
Wewe ni wale jamaa wa 'mfumo dume', unaumia kumuona Mama Samia akipigiwa mizinga 21.Tija ya kumkingia Kifua ni ipi? Mara nyingi umeandika nyuzi nilizozipenda sana lakini kwa Fikra kama hizi sijui umeingiwa na nini hasa?
Kwamba taifa bado linaomboleza? Yataisha lini hayo maombolezo? Mjane mwenyewe kashasahau sahivi shavu linatoka.Aisee Mungu alikutumia. Sasa ninavyoona kumbe tuna safari ndefu kwa sababu ukiangalia 90% ya viongozi wakubwa serikalini kuna kauli wamezitoa za kushangilia/kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Kumbe maskini hawajui kumbe ni kuidharau idara nyeti. Mpaka hapo 2025 haijulikani kabisa. Jambo lingine ilikuwaje Mama akatangaza nia wakati bado hata mwaka haujaisha???? Nani alimshauri???? Kwa sababu ukiangalia ni kama taifa bado lipo linaomboleza, yaani ni tofauti kama rais Dkt Magufuli angeondoka kupitia njia za uchaguzi nadhani Mama tungemzoea haraka na idara nyeti ingekuwa imejiandaa. Ila kwa hili mtu waliyemuandaa for almost a decade then aje afe kizembe tena kwa kufungiwa na taifa lipate taarifa tu ya kifo tena wengine wafanye sherehe dahhh sijui
Anapoteza muda na ujuha kwa sababu katiba ya Tanzania na utaratibu hauko hivyoNi kama vile humuamini Mama Samia. Ulitaka tuingie gharama mpya za kuitisha uchaguzi na kampeni zile muda wetu!.
Hauko vipi mkuu?, mbona unateseka namna hiyo?.Anapoteza muda na ujuha kwa sababu katiba ya Tanzania na utaratibu hauko hivyo
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Bwana Bukililo kunywa maji you call it a night mkuu. HujanielewaHauko vipi mkuu?, mbona unateseka namna hiyo?.
Pole sana hujuiKwamba taifa bado linaomboleza? Yataisha lini hayo maombolezo? Mjane mwenyewe kashasahau sahivi shavu linatoka.
Acheni ndoto mchana mambo yalishaisha songeni mbele.
Ndio hivyo mkuu.Watu wengi humu ni wapumbavu Sana aisee
1. Sio Isack Rabin,.. ni Yitzhak Rabin.
2. Sio KJB,.. ni KGB!
3. Uzi utopolo!