Aisee Mungu alikutumia. Sasa ninavyoona kumbe tuna safari ndefu kwa sababu ukiangalia 90% ya viongozi wakubwa serikalini kuna kauli wamezitoa za kushangilia/kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Kumbe maskini hawajui kumbe ni kuidharau idara nyeti. Mpaka hapo 2025 haijulikani kabisa. Jambo lingine ilikuwaje Mama akatangaza nia wakati bado hata mwaka haujaisha???? Nani alimshauri???? Kwa sababu ukiangalia ni kama taifa bado lipo linaomboleza, yaani ni tofauti kama rais Dkt Magufuli angeondoka kupitia njia za uchaguzi nadhani Mama tungemzoea haraka na idara nyeti ingekuwa imejiandaa. Ila kwa hili mtu waliyemuandaa for almost a decade then aje afe kizembe tena kwa kufungiwa na taifa lipate taarifa tu ya kifo tena wengine wafanye sherehe dahhh sijui