GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nami GENTAMYCINE naomba nichukue fursa hii kuwatakia 'Hepibasidei' wale wote wanaosheherekea leo hata na yule aliyekuwa jana na aliyeko leo huko Dakar nchini Senegal.
Ukiwa katika nchi yoyote ile duniani na ukakuta ama 99% ya Media zake au Media zote zinajikomba kwa mamlaka (Serikali) jua hilo Taifa ni la hovyo, halina maendeleo, lina unafiki na wanafiki wengi na idadi ya watu wasio na akili (fools) ni wengi mno.
Nashukuru Media ya (za) Tanzania yangu kwani yenyewe wala haina upuuzi huu (uliopo katika nchi zingine) na yenyewe muda wote huchapa kazi kwa kuibua mambo ya kimsingi, hukosoa, haijipendekezi kwa Serikali (mamlaka) hasa kwa kumtakia 'Hepibasidei' Rais ili waandishi wake wateuliwe katika nyadhifa mbalimbali.
Ukiwa katika nchi yoyote ile duniani na ukakuta ama 99% ya Media zake au Media zote zinajikomba kwa mamlaka (Serikali) jua hilo Taifa ni la hovyo, halina maendeleo, lina unafiki na wanafiki wengi na idadi ya watu wasio na akili (fools) ni wengi mno.
Nashukuru Media ya (za) Tanzania yangu kwani yenyewe wala haina upuuzi huu (uliopo katika nchi zingine) na yenyewe muda wote huchapa kazi kwa kuibua mambo ya kimsingi, hukosoa, haijipendekezi kwa Serikali (mamlaka) hasa kwa kumtakia 'Hepibasidei' Rais ili waandishi wake wateuliwe katika nyadhifa mbalimbali.