‪Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ampa heshima Maxence Melo wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU‬

‪Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ampa heshima Maxence Melo wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU‬

Mungu aendelee kumbariki sana mkuu wetu melo na amuepushe na hila za maadaui waliomzunguka.
Kuna mijitu inamtolea sana mkuu wetu melo mimacho.
 
But that younger man is paying a huge price on our behalf, is so bold, not greedy of money na hatishiki, big up Bro....your are giving us a good example to emulate as younger men of this continent.
 
Kuna mtu karibu na kigamboni anataka kupasuka now?

Mimi ninamdhauri apokee mapungufu ayafanyie kazi, pia critics ambazo zinauhakika wa influence kutoka nje awanyamazie, wanaoropoka tuu awabane
 
Iwe kweli au isiwe kweli, JF inastahili kutambuliwa, kuheshimiwa na kupata tuzo, tena kubwa zaidi ya sifa alizoimwagia Rais Buhari.

Nami naongeza kwamba huo ni mwanzo tu wa kutambuliwa kwa mtandao huu kimataifa. Tuzo na heshima zitazidi kumiminika zaidi siku zijazo toka ndani na nje ya Tanzania.

Hongera zenu JF. Hongera Maxence Melo.
 
Hongera sana Maxence Melo kwa kutuwakilisha vyema vijana wa Tanzania

Uendelee kuwa na moyo huohuo wa kupiga vita ufisadi.

Kunao watu wakisikia hii habari watashindwa kulala na wake zao kwa amani na watataka kubuni mbinu ovu za kukukwamisha. Ndio! Watu hao wapo na wamekusumbua sana na bado wangali wakitaka kukufunga mdomo.

Vijana tupo bega kwa bega na wewe katika kupambana na huu ukoloni mbaya kuliko ule wa mwanzo
 
Back
Top Bottom