‪Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ampa heshima Maxence Melo wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU‬

Naona watu wamenuna! Truth will set Tanzania free.
 
Hongera captain Maxence Melo usikatishwe tamaa na namna yeyote ya kutaka kukurudisha nyuma.unafanya kazi kubwa sana kwa jamii yako ya watanzania, wana afrika mashariki na dunia nzima kwa ujumla inatambua kazi yako. Bado kidogo dunia nzima itakujua wewe ni nani.
 
Hivi mkuu wetu anaweza kupongeza mambo ya maana kama haya!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…