Sausi Alex
JF-Expert Member
- Jan 26, 2021
- 239
- 181
Mmwambie aache umama maana hatujawalazmisha Kuja Africa sema sisi tunaongoza Kwa kujipendekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wa bongo wana payuka Sana ungemuachatu na maujinga yake huyoNenda chuo cha ufundi Arusha (ATC) ukajionee mwenyewe Mrusi alivyofanya mambo pale.
Akili zenu zifungueni
Hata mm nilitaka ni lopoke mtusi huo[emoji1787][emoji1787]Apeleke matako yake huko huyo kibaraka wa mashoga
NonsenseUrusi hawana issue wala hakuna nchi za Africa zinazomuendekeza, huwezi kuwa kiongozi wa dunia halafu ukaenda kuitembelea Uganda na Ethiopia kwa kuishaiwishi dunia na ukaacha nchi zote za maana. Ni wazi Putini hana tena ushawishi ulimwenguni, sera zake na itikadi yake ni kuendelea kusalia madarakani ndio mana alimtembela M7 dekteta mwenzake.
Mimi toka nizaliwe Rais wa Uganda ni M7., na siku akichoka mwanae anafuatia ambaye saivi ashampachika mavyeo jeshini huko.
Mwambieni kuwa Urusi hajawahi kutawala kipande chochote cha Afrika. Hao wanaotupa tahadhari ndio wametufikisha hapa tulipo
Napenda wanawake wenye kujuwa maswala Kama haya ya kimataifa na siasa zake itakuwa na kufollow aiseeRais wa Poland Andrzej Duda ameonya mataifa ya Afrika kuwa makini na kile alichokiita sera ya kifalme ya Urusi kutokana na kuongezeka kwa ushawishi wake katika masuala ya usalama na nishati
Amedai kuwa Urusi ilikuwa ikitumia Kundi la Wagner (kampuni ya usalama ya kibinafsi) kama "chombo chake cha kijeshi" barani Afrika chenye matokeo ya " kinyama na ya kikatili"
Hii ni baada ya Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov ya Julai, 2022 kuonesha nguvu ya kidiplomasia ya nchi hiyo alipotembelea Nchi za Misri, Ethiopia, Uganda na Congo-Brazzaville
..................................................
Polish President Andrzej Duda has warned African nations to be wary of what he called Russia’s imperial policy towards the continent.
In an interview with the BBC, Mr Duda said Russia's growing influence in Africa in the areas of security and energy was a "new attempt at colonization".
He claimed Kremlin was using the Wagner Group – a private security firm - as its "military tool"’ in Africa with "ruthless and brutal" consequences.
The Polish president recently visited three African countries - Nigeria, Senegal and Ivory Coast - in an attempt to boost relations with the continent and explore alternatives to Russian oil and gas in the wake of a global energy crisis.
Russia's Foreign Minister Sergei Lavrov in July showed the country's diplomatic clout in Africa during his four-nation tour to Egypt, Ethiopia, Uganda and Congo-Brazzaville.
The second Russia-Africa summit is due to be held in Ethiopia in October, where trade and defence deals could be signed to strengthen relations.
Source: BBC
Saw lkn urus hawana jipya Wala msaada ktk Africa wazingu kibao kina usaid na ifrd zote zinafanya Kaz Africa na Kutoa pesa ndefu Happ Ni lini tumeona mrusi akifanya tafiti huku hkn Ni her nitawaliw na USA kuliko nikajiunga na mrusiEU na USA hawapaswi kulazimisha maadui wao wawe maadui WA Africa