Rais wa Poland aionya Afrika dhidi ya jaribio jipya la ukoloni wa Urusi kupitia masuala ya Usalama na Nishati

Mmwambie aache umama maana hatujawalazmisha Kuja Africa sema sisi tunaongoza Kwa kujipendekeza
 
Nonsense
 
Napenda wanawake wenye kujuwa maswala Kama haya ya kimataifa na siasa zake itakuwa na kufollow aisee

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
EU na USA hawapaswi kulazimisha maadui wao wawe maadui WA Africa
Saw lkn urus hawana jipya Wala msaada ktk Africa wazingu kibao kina usaid na ifrd zote zinafanya Kaz Africa na Kutoa pesa ndefu Happ Ni lini tumeona mrusi akifanya tafiti huku hkn Ni her nitawaliw na USA kuliko nikajiunga na mrusi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…